Kama kichwa cha habari kinavyosema kama unatanki limekaa alifanyi kazi naitaji matanki kwanzia 2000lita mpaka 10000lita ni kwajili yakuifadhi maji.
Na vizuri uwe Morogoro mjini kuhusu gharama na malipo ni kwa mwezi au miezi miwili miwili uje na bei yako. Kwa mawasiliano 0621 507 835
Nipigie au...
Hellow mm bado najifunza in this forex business ila ningependa kuchangia kitu ikipendeza unaweza tumia au unaweza ongezewa kitu au unaweza punguza kitu by fact kwenye comment chini ya hii comment
Watu wengi atuelewi nini mana ya risk and money mangment
A.90% of traders awajui pips value kama...
Usiende sehemu kwa msukumo kunasabu za watu kwenda A level na Kuna sababu za kwenda college kote kuna ugumu A level ni rahisi kupoteza ndoto ya kusomea unacho ukitaka na college Ni rahisi kujikuta unaishia level ya diploma kirahisi kabisa.
Hata hivyo ukizingua six unarudi colleg kwangu...
Habari za mchana wadau,
Ningependa kujua naitaji kupata vibali vingapi na gharama zake zikoje na wapi naweza kuvi kupata. Ili niweze kufanya usafirishaji wa samaki na dagaa ndani ya nchi.
Vyote ni vizuri ila kutrade manual ni kuzuri zaidi maana naamini akuna kitu smart zaidi ya binadamu nimeshaona on a marobot mengi aya naga kitu cha stop loss yana close trade manually ambako kuna kitu kinaitwa slippage kipindi cha market crush maroboti kama haya uchoma mitaji yote kabla alija...
Ukisoma kitabu nimuongozo mzuri ila unaitaji mazoezi kwa asilimia 70% akikisha unacho kisoma unakifanyia mazoezi na kama ukiona akilipi ki modify mpaka kianze kukulipa kwa 60% -80% kwavile mambo ubadilika maana sijaona 100% wining strategy mpaka leo
Sio uwongo izi data uwangaliwa kwa kila...
Kwa anaye fahamu sehumu ambapo shamba linauzwa kwa Morogoro pawe rahisi kufikika na bei iwe nafuu anijuze 0758022953
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.