Habari wana JF,
Mimi ni mpya hapa, niseme wazi kuwa nimejiunga leo kwa sababu moja tu kutafuta mke bora/mwema/ aliye tayari.
Wasifu wangu;
Dini: Mkristo
Umri: 45
Mkoa: Mbeya
Familia: Watoto wanne, watatu wapo boarding. Mmoja anaishi na mamake
Ndoa: Tumetalikiana ki Sheria 2020
Shughuli...