naipongeza SANA jamii forum.kupitia mijadala ya biashara,nilipata wazo la mrad wa kufanya.kwa sasa ninaendelea nao VIZURI SANA!!asanteni wote tunaoijenga forum. hii!!.Mungu azid kutupatia maarifa hapa!!
ni biashara nzuri.mimi ninafanya mwaka wa tatu sasa.uwe sehemu yenyewateja wengi na uwe na mtaji wa kutosha na iwe ni biashara iliyo ndani ya duka la vitu vinngine.inachangamsha sana biashara ya bidhaa zingine.hasa vitu vya rejareja.
Mimi ninataka kuanza mradi wa kujenga na kuuza nyumba (ambazo zinakuwa zimefika hatua ya lenter) nipo Dodoma hivyo mradi huu natarajia kuufanya hapa Dodoma.
Naomba elimu, ushauri, uzoefu n.k utakaonisaidia kupata elimu nini cha kufanya ili kuanza.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.