To you Mr.President
Its one year now since General Election.The election that put you in power.
Mr.president remember you were not contesting alone.You were contesting with some other candidates who had also strong and visionary manifesto.The candidates who were popular and acceptable to the...
Heshima kwenu wanabodi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Mwaka Jana kipindi cha uchaguzi niliwashawishi watu wengi pamoja na familia ya rafiki yangu wampigie kura rais Magufuli. Niliwaambia kuwa yeye ndiye mtu bora anayestahili kuwa rais wa Tanzania. Niliwakumbusha utendaji...
Heshima kwenu wakuu.
Swala la ajira limekuwa ni ajenda kubwa saana katika chaguzi nyingi duniani.Vyama vingi vimekuwa vikijipatia ushindi kwenye chaguzi mbalimbali Mara tu vinapoahidi kupambana na tatizo la ajira.
Vijana wengi wamekuwa wakiunga mkono vyama mbalimbali hasa vile vinavyoahidi...
Iwould first struggle to give employment to the sons and daughters of the poor.
I would first remember how parents of the graduate struggled to educate their son's and daughters. How sometimes they had to sleep hungry in order to pay school fees.
How they had to sell their land for their sons...
I want to tell him that,despite his efforts to equip schools with enough desks,chairs and tables,pupils and students at schools are not learning.They are not getting the most important thing(Education).
The grade seven are starting exams tomorrow so is to the form four in November.They are...
Heshima kwenu wakuu.
Naomba niwaletee watu kadhaa walioshiriki maandamano na hata kudhurika na baadae chama chao kikawasaliti.
1.Dr.wilbroad slaa
Huyu alkuwa katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.
Aliongoza harakati nyingi Za chama katka kila pembe ya...
Hivi walimu mnawachukuliaje?
Suala la watumishi hewa mbona sijaona aliyevuliwa cheo ila walimu mmewavua vyeo vyao haraka haraka kisa wanafunzi hewa. Hizi double standard zinamaanisha nini?
Kwamba mwalimu yeye ni cheap sana?
Kwamba mwalimu yeye ni mnyonge saana?
Mwalimu yeye hana haki?
Au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.