Kaka Msigwa nae kaja na mambo mageni apa duniani kwa mafuta yanauzwa kwa uzito na sio ujazo tena (kwamba mafuta yanauzwa kwa tani na sio kwa lita zilizo kwenye mapipa)
Ngoja nijalibu kumtetea mama (yawezekana alimaanisha bei ya pipa moja na sio lita moja) kama utetez wangu utagonga mwamba atakuja kaka msigwa kunisaidia kumtetea mamayetu na serikali yake
Pia ninawasiwasi na usalama wa wazir wa mambo ya nje wa iran na spika wa bungu lao wanawezwa kua target za mwanzo kabisa mapunziko yakiisha na target yapili ni kuiba au kuporan uranium apo USA na ISRAEL hawalali
Apa bongo 20% tu ya wamiliki wa magar ya biashara au binafsi huuza tu kwasababu anamaden mengi au anataka auze aongezee apata aina nyinginge yaani awe updated na 80% ya wamiliki wa magar huuza kwasababu gari imechoka sana,inamatatizo ya mara kwa mara spea kua za garama kubwa na azipatikan...
Used bongo ni kama ucheza biko au 3mzuka yaani uweke 1000 upate 10m yani apo bahati na nasibu wawe upande wako ndio utashinda na ndivyo ilivyo kwenye kupata chombo cha moto kilicho tumika nje na ndani ya nchi kilicho na ubora,huakika kwa garama ndogo alafu kije kua bora kwako wewe (kumbuka...
Kiufupi wewe ukipanda bus mshukuru mungu umefika salama bin salmin maana ndio lengo kukuu kwa 100% na kuhusu huduma zitolewazo kwenye usafiri haziwez kuwafurahisha abilia wote 60 kwa utofauti wenu wa kiiman,kitikadi ata kimaumbie na mbaya zaidi akuna bus ata v.i.p apa afrika lenye uwezo wa...
Ipi ivi yale ni matakwa ya dereva na konda wake kutokana na moods zinazomzunguka na mara chache sana kua matakwa ya mtu binafsi mf mm mara myingi nimepanda mabas ya abood kwenye tv kukaoneshwa nyimbo za injiri,bolingo,kaswida na hata movies zisizokua na maadili,pia mara nyingi ata mabas ya...
Yaan bora ununue ma lc v8 linamafundi wengi apa bongo ila ilo lidude kwa mazingira yetu apa tz kuna siku litakuumbua barabaran maana kwanza umeme mwingi kuliko madude yaliopo tz,mfumo wa kompyuta unatawala adi mataili yake, bado dubwana linataka huduma za intanet ili liweze kujua lipo wapi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.