Recent content by Lizo mkristu

  1. Lizo mkristu

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Ok sawa tufanye tumekubali wese lina uzwa kwa kg au Tani je kg1 au tani 1 ya mafuta uko sokoni ni dola ngapi maana sisi uku uvinza akuna tunachokijua
  2. Lizo mkristu

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Kaka Msigwa nae kaja na mambo mageni apa duniani kwa mafuta yanauzwa kwa uzito na sio ujazo tena (kwamba mafuta yanauzwa kwa tani na sio kwa lita zilizo kwenye mapipa)
  3. Lizo mkristu

    Rais Samia: Bei ya mafuta Marekani na Ulaya ni Dola 800 na Euro 400/600 lita 1, Sisi tuko vizuri, tuna uhakika wa miezi 3

    Ngoja nijalibu kumtetea mama (yawezekana alimaanisha bei ya pipa moja na sio lita moja) kama utetez wangu utagonga mwamba atakuja kaka msigwa kunisaidia kumtetea mamayetu na serikali yake
  4. Lizo mkristu

    Trump asitisha shambulio zito dhidi ya Iran dakika za mwisho! Vita kusitishwa kwa Wiki mbili. Nini kinaendelea na nani Mshindi?

    Pia ninawasiwasi na usalama wa wazir wa mambo ya nje wa iran na spika wa bungu lao wanawezwa kua target za mwanzo kabisa mapunziko yakiisha na target yapili ni kuiba au kuporan uranium apo USA na ISRAEL hawalali
  5. Lizo mkristu

    TANESCO wameanza kuibia wateja waziwazi

    Acha tulijenge taifa kwa maendeleo ya vizaz vijavyo
  6. Lizo mkristu

    Chalamila: Tangu nisikie ukishikwa bega nyeti zinapotea nimekuwa makini, sina mali nyingine

    Kama kweli mr RC amesema ivyo basi sasa naamin huo ni mpango wakutengeneza tranding kufifisha jambo muhimu
  7. Lizo mkristu

    Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    Apa bongo 20% tu ya wamiliki wa magar ya biashara au binafsi huuza tu kwasababu anamaden mengi au anataka auze aongezee apata aina nyinginge yaani awe updated na 80% ya wamiliki wa magar huuza kwasababu gari imechoka sana,inamatatizo ya mara kwa mara spea kua za garama kubwa na azipatikan...
  8. Lizo mkristu

    Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    Used bongo ni kama ucheza biko au 3mzuka yaani uweke 1000 upate 10m yani apo bahati na nasibu wawe upande wako ndio utashinda na ndivyo ilivyo kwenye kupata chombo cha moto kilicho tumika nje na ndani ya nchi kilicho na ubora,huakika kwa garama ndogo alafu kije kua bora kwako wewe (kumbuka...
  9. Lizo mkristu

    Dkt. Tulia anapitia kipindi kigumu, walio karibu naye wamuangalie

    Wakat amekua spika mbovu alikua na kibri sana acha tu watesane wenyewe kwa wenyewe
  10. Lizo mkristu

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Kiufupi wewe ukipanda bus mshukuru mungu umefika salama bin salmin maana ndio lengo kukuu kwa 100% na kuhusu huduma zitolewazo kwenye usafiri haziwez kuwafurahisha abilia wote 60 kwa utofauti wenu wa kiiman,kitikadi ata kimaumbie na mbaya zaidi akuna bus ata v.i.p apa afrika lenye uwezo wa...
  11. Lizo mkristu

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Ipi ivi yale ni matakwa ya dereva na konda wake kutokana na moods zinazomzunguka na mara chache sana kua matakwa ya mtu binafsi mf mm mara myingi nimepanda mabas ya abood kwenye tv kukaoneshwa nyimbo za injiri,bolingo,kaswida na hata movies zisizokua na maadili,pia mara nyingi ata mabas ya...
  12. Lizo mkristu

    Iran yaweka kibanda cha tozo (Tollbooth) kutoza ushuru kwa meli zitokatiza kwenye mfereji wa Hormuz

    Hofu yangu je icho kisiwa hakiwey pigwa na kombora?
  13. Lizo mkristu

    Ni mwendo wa kufungia kila asiyeitikia pambio la anaupiga mwingi?

    Tutabakia sisi tu watu wa vpn na wale wanaofanyaga mahojiano na machoko
  14. Lizo mkristu

    Hatimaye Beforward wametukumbuka. Wametuletea Tesla Cybertruck kwenye website yao!

    Yaan bora ununue ma lc v8 linamafundi wengi apa bongo ila ilo lidude kwa mazingira yetu apa tz kuna siku litakuumbua barabaran maana kwanza umeme mwingi kuliko madude yaliopo tz,mfumo wa kompyuta unatawala adi mataili yake, bado dubwana linataka huduma za intanet ili liweze kujua lipo wapi na...
Back
Top Bottom