Kwanza ndungu mtoa maada nakukumbusha tu kua MAREKANI NI U.S.A (UNITED STATE OF AMERCA) kiufupi apo kuna mchanganyiko wa watu wa mataifa tofauti kwaiyo kuwazibiti sio jambo jepesi lakini pia wao wanatoa fulsa ya kila mtu mwenye uwezo wa pekee kupewa utaifa na nyenzo la kutimiza uwezo wake na...
Kwa pale mimi namtetea mada duli kwa kuongea kiswahili maana wale viongozi pale mbele kila mt ametumia lugha mama ya taifa lake mf bwana putin alikua anajibu kwa kirusi,mchina kwa kichina na yule mwingine kwa kikazikistan na mama yetu akapiga kiswahili
Alipe wa simba awatukane yanga akafanikiwa,akapewa yanga awatukane simba alifanikiwa sasa kapewa timu zooote za taifa awatukane watanzania kwa ujumla wao
Ukiangalia anachopitia UKRAIN ni kwamba kaachwa aliwe rasmi na ata VENEZUELA aliachwa aliwe sasa apo IRAN nao ni mnofu wa CHINA sasa ISRAEL ijiandae kutelekezwa
Akuna mkimbizi wala ombaomba anaekwenda kuomba kustiliwa kimaisha asa akiwa binafsi kwenye nchi ya CHINA, URUSI WALA SAUDIA pia hata hapa Afrika kwa weusi sijawai kuona mtu akinufaika moja kwa moja toka kwa mchina, mwarabu au mrusi hata hawa wenzetu waliobahatika kuwa kwenye ndoa na hawa...
Vyoo vingi vya umma kama kwenye ma bar, vyoo vya stend kubwa, sehemu za starehe na hata kwenye vyoo vya ofisi nyingi zenye mkusanyiknwa watu wengi je ipi sababu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.