Baadh ya watanzania wanaamin kuwa marekan itawasaidia ktu ambacho sio kwel, waulizen waliotangulia kuwa marafik wa marekan watakuelezen. kumbuka ndege wa mabawa sawa huruka pamoja pia umoja ni nguvu, EAC ina umuhm mkubwa sana japo kwa haraka hazionekan.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.