Recent content by livinu

  1. L

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    yasakue ya udom make bado hatuja yapta.
  2. L

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    vipi udom mbona hatuyaoni?
  3. L

    90% ya kura za Siri zilizopigwa Bunge Maalum la Katiba ni "HAPANA"

    hata kama waklazmisha hapana ikawa ndiyo haina shda, wananch tupo tnasubiri kuwaaibisha hao waliokuwa wakpeana eka za kpgia kampen.
  4. L

    Tanzania yatengwa rasmi na nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ( EAC )

    Baadh ya watanzania wanaamin kuwa marekan itawasaidia ktu ambacho sio kwel, waulizen waliotangulia kuwa marafik wa marekan watakuelezen. kumbuka ndege wa mabawa sawa huruka pamoja pia umoja ni nguvu, EAC ina umuhm mkubwa sana japo kwa haraka hazionekan.
  5. L

    Tanzania to open Kiswahili teaching offices in foreign countries

    its a good idea since it will expand the use of our kiswahili and creatig job opportunities.
  6. L

    Proposal: books review threads

    it is a good idea kwani waneni hunena ati "when you are with book you are not alone" '
  7. L

    Mganga wa kienyeji akamatwa akijaribu kuloga ndani ya Mahamaka ya Hakimu Mkazi Kisutu leo

    jamani wabongo tunalogana hadi mahakamani? hii kweli ni aibu kabisa.
Back
Top Bottom