Salaam.
Kwenye kulea mara nyingi Kila jinsia ina nafasi yake mahususi kwa watoto.
Mtoto wa kike analeleka vyema kwa mama na kidume kinaleleka vizuri mno kwa baba.
Katika kasi hii inayoendelea na kuongezeka mahusiano au ndoa kuharibika na kupelekea kutengana, ni vyema watoto wa kike wakaenda...
Salaam JF,
Nimechukua muda wa kama miezi 3 tu kujua hii kauli inayotolewa na wanawake kwamba "HATA JAMAA AKICHEAT NI YEYE KIKUBWA ANANIPENDA NA KUNIHUDUMIA" kuwa ni ya kimkakati.
Mwanamke anaesema hii kauli ni wa kuchungwa haswa yule anaeweza kumwambia bwana ake uso kwa uso..." BABE HATA...
Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa-handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao, mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada. Yamemkuta leo, amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!
Fear women of...
Ana pesa ya kulipa bill ukiona hivo
Wala hatadhalilika maana kunae mafisi watamlipia kama hana na ataenda kupatiwa raha yake aliyoikosa kwako!
Japo hana akili nzuri kwa kushindwa kukusoma kuwa hufagilii pigo zake kitambo tu.
Otherwise,hongera kwa kuwa gentleman ukamlipia nyama.
Wa salaam JF
Una watoto watatu umri wao juu ya miaka 15.
Ukasikia mkeo akisema kuwaambia watoto hana uhakika kama baba ni wewe au sio wewe!!
Maneno yakafika kwa ndugu na wazee wa pande zote mbili!
Likaja shinikizo la kupima DNA, utakubali kupima!? Au bora ndoa ife tu!?
(Kupima DNA ni njia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.