Ngoja niende kwenye mada Moja Kwa Moja
Mimi nadhani inawezekana kuwa na kampuni 2 tofauti zinazotoa huduma ya usafiri wa mabasi ya mwendokasi
1) Kila kampuni inakuwa na rangi yake ya mabasi yake kwamfano
Kampuni Moja mabasi yake ni ya kijani
Kampuni ya pili mabasi yake ni Njano
2) Kampuni...
Haya mambo tulisha yasahau Baada ya Magufuli kuingia madarakani alikomesha kabisa haya mambo
Kama umeme ulikatika basi ni Kwa sababu za msingi na taarifa ilitokewa
Lakini hili linaloendelea Kwa Sasa umeme kukatika mara 5 Kila siku bila ya sababu zozote za msingi tulisha yasahau haya
Kama ni...
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Kila la kheri huko uendako uzuri wa uislam hamlazimishi mtu kuwa Muislam
Kwanza unaonekana uislam wenyewe haujui
Haujui lipi limesemwa na Mungu
Haujui lipi...
Lazima akushangae Kwa sababu hilo neno BAOBONYE sio msamiati wa lugha ya kiswahili ila Kuna mtu alikaa Kwa kutumia akili zake akabuni hilo jina
Misamiati ya lugha haibuniwi na watu ila Huwa ipo automatically tokea zamani
Tayari Tanzania ni watumwa wa lugha ya kingereza na ndio maana ofisi zote za serikali documents zake zipo Kwa lugha ya kingereza
Alafu wewe unaonekana ni kilaza ndio hayo tunayoyasema hizo nchi ulizozitaja hapo mfumo wao wa Elimu ni Kwa lugha yao kuanzia elimu ya awali Hadi chuo kikuu
Kwanini...
Hili swali Huwa najiuliza sana alafu sipati majibu
Hivi ni kweli hawa viongozi wa serikali hawajui magumu wanayopitia watoto pale wanapoingia kidato Cha kwanza na kukuta lugha imebadirika ghafla?
Hivi ni kweli hawa viongozi wa serikali hawajui umuhimu wa lugha ya kingereza ndani ya nchi yetu...
Ni kweli kabisa dada yangu wanawake Huwa mnatofautiana sana wapo wanawake watamu sana
Mimi Nina mke wa ndoa na pia nilikuwa na michepuko mingi tu ila katika michepuko yote Kuna mmoja alikuwa mtamu sana
Kwanza alikuwa na figure ambayo Mimi naipena mrefu wa wastani, maji ya kunde na kamzigo ka...
Kama story za Adam na Hawa ni uongo Kwa hiyo huo uongo ndio unatuambia kuwa sisi binadamu wote chanzo chetu ni Adam na Hawa
Sasa tuambia wewe mwenye story za ukweli kuhusu binadamu
Binadamu wa kwanza ni nani?
Wewe katika kizazi chako binadamu wa kwanza ni nani?
Yawezekana unahoja ya msingi ila hajayaweka vizuri maelezo yako wengine tupo bize tulikosa mda wa kuangalia hayo mashindano
Ilitakiwa ufanye Nini Ili upate hizo zawadi? Lakini pia kamari sio zawadi
Au katika wadhamini na wachezesha kamari walikuwepo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.