Habari wadau! Kama kichwa kinavyosema, ninatoa huduma ya hosting bure kabisa kwa miezi 6 na pia kama unahitaji kua na website au mobile application (ios & android), pia utapatiwa kwa gharama nafuu sana. Napatikana kwa +255 768 55 8494.
Habari wana JF.
Natumaini nyinyi nyote mnaendelea vyema wakati huu wa janga la COVID-19. Kwa kujitambulisha kwanza, mimi ni kijana Mtanzania na kwasasa ninasomea Shahada ya Uhandisi wa Umeme na kompyuta (Bsc. Electrical and Computer Engineering) nchini Marekani. Hivi majuzi nimemaliza...
Habari wadau wa JF. Natafuta suppliers wa mafuta halisi kabisa ya nazi (coconut oil). Ingekuwa vizuri kama unazalisha mwenyewe. Pia mafuta hayo lazima yawe kwenye quality ya juu kabisa na yasiwe yamechanganywa na chochote. Asante!
Habari wakuu. Nilikua naomba kuuliza kama kuna yeyote huku anayeuza au anayejua mahali ambapo ningeweza kupata moldi (vibobo) vya kutengeneza ice cream (barafu) nyingi. Inaweza kuwa kubwa au kufanana na picha niliyoambatanisha hapa kwenye posti. Asanteni sana.
Habari zenu waheshimiwa,
Naomba kuuliza kama kuna yeyote anajua mahali pa uhakika ambapo nitaweza kupata mayai ya kisasa kwa bei ya jumla. Ntakua nachukua tray za kutosha.
Shukran sana wakuu!
Habari zenu waheshimiwa,
Naomba msaada wakuu kama kuna yeyote angeweza nisaidia kunipa majina ya makampuni au dereva au hata tu msaada wa mawazo wa kusafirisha mzigo kwenda Afrika kusini. Nitakua nasafirisha mizigo mara kadhaa kwa mwezi. DHL sitaki kuwatumia kwasababu mzigo ni mkubwa kidogo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.