Wadau nimerudi kwenye huu uzi kuwapa mrejesho, mlinipa msaada mkubwa sana, kila mmoja kwa kile alichoona kingenisaidia niwashukuru sana wote...binafsi niliamua kutumia ile njia niliyoona ina wepesi, basi niliamua kutumia dawa ya sensodyne kama ambavyo mmoja wa wana jf alivyoshauri hapa na mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.