mkuu huyo mpoto walishamalizana nae mangamba uwa wakutumia only once kama ndomu,ila huyo jb kumbukumbu zangu hii zaidi mara ya 3!kuchukua kadi sasa sijui uwa anazipoteza au anapenda kadi mpya
aliyoyasema mh. v. nyerere yote ni kweli tupu mm niliondoka tanzania sasa ni miaka 10 iliyopita na yalishakuwepo nani asiyejua kuwa maaskari wanapewa magari ya doria yakiwa na mafuta kidogo na ni wao wanatakiwa kujiwekea mafuta na wanatakiwa wapeleke hesabu kwa mabosi wao kama wafanyavyo taxi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.