North korea mfumo wao ni ujamaa ambao watu wa ubepari hawawezi kutoa taarifa zao sahihi sababu hawana data kamili ila taifa maskini haliwezi miliki nuclear wala kutoboa kwa vikwazo walivyo wekewa.
Sisi acha tuwe machawa na goli la mama tyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.