Recent content by Lionheart

  1. L

    GE2010 CCM wanamkomoa nani: wapinzani au wananchi?

    Katika maisha watu hawawezi kuwa level moja watu wote hawawezi kufanana katika matumizi na mahitaji Yao ya kila siku... Waswahili wanasema kila Mbuzi atakula kulingana na urefu wa Kamba yake
  2. L

    Hi, am a new member!

    Kwanza tunashukuru mungu kwa kutupa uwezo wa kuwa hapa pili ni lazima tuwe na shukran kwa team nzima ya Jamii forum haya ndiyo maendeleo yanavyoanza kuja siku hadi siku.. Haya yanayojadiliwa hapa ni changamoto kwelikweli kwa maisha ya kila siku ya mtanzania... Tuendelee tu tutafika tusijali
Back
Top Bottom