Katika maisha watu hawawezi kuwa level moja watu wote hawawezi kufanana katika matumizi na mahitaji Yao ya kila siku... Waswahili wanasema kila Mbuzi atakula kulingana na urefu wa Kamba yake
Kwanza tunashukuru mungu kwa kutupa uwezo wa kuwa hapa pili ni lazima tuwe na shukran kwa team nzima ya Jamii forum haya ndiyo maendeleo yanavyoanza kuja siku hadi siku.. Haya yanayojadiliwa hapa ni changamoto kwelikweli kwa maisha ya kila siku ya mtanzania... Tuendelee tu tutafika tusijali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.