silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Tumeandamana kupinga maamuzi ya nec kumtangaza Kikwete kuwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,, Chadema haina ugomvi na CCM, bali inaugomvi na Matokeo na uchakachuaji uliotokea Kipindi cha uchaguzi,, ambao uchakachuaji huo umefanywa na NEC,
Nawashangaa CCM wanatangaza kuandamana, eti Mwenyekiti amedhalilishwa,, kadhalilishwa wapi,, hivi CCM muko Serioue katika uongozi? hivi munafikiria Mukiandamana mutamkomoa nani Chadema? au Wananchi ambao mutawapa shida tuu ya kuungua jua na hakuna mutakacho wapa zaidi ya kunukishana jasho tu
hivi ni kweli CCM haina yafuatayo?
Nawashangaa CCM wanatangaza kuandamana, eti Mwenyekiti amedhalilishwa,, kadhalilishwa wapi,, hivi CCM muko Serioue katika uongozi? hivi munafikiria Mukiandamana mutamkomoa nani Chadema? au Wananchi ambao mutawapa shida tuu ya kuungua jua na hakuna mutakacho wapa zaidi ya kunukishana jasho tu
hivi ni kweli CCM haina yafuatayo?
- Ndani ya CCM hakuna mafisadi ila kuna ufisadi!
- Fedha zilizochotwa kutoka Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu (BoT) zilikuwa kwa kazi maalum baadaye Waziri Zakia Meghji anajiumauma, "Aaah nanihii alinipotosha!"
- Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete na wafuasi wake wanasema, "Elimu bure haiwezekani".
- Halafu meneja kampeni, Abdulrahman Kinana anashadidia, eti hata Mwalimu Nyerere hakusomesha watoto bure ila alikopa fedha nje kwa ajili ya kusomesha bure; fedha alizokopa zilianza kulipwa awamu ya tatu.