Wana jamvi jamani tabia ya wanawake kugeuza wanaume benki hawajui maana ya mapenzi wao wanatanguliza pesa kila ukimpigia simu kumjulia hali yeye anaanza kuomba hela jamani sasa tutaogopa hata kuwapigia simu tena inakera sana naomba mbadilike kuwatongoza sio ishara ya kuwaambia muombe pesa...
Ndugu wana mmu ila limekuwa likinikera sana kuona wanawake ambao wapo kwenye ndoa ndio wanakuwa wanaongoza katika kuanzisha michepuko ni bora wakiwekewa alama itasaidia japo sio kupunguza michepuko
#habari_mnayoo #
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.