Uko sahihi.Zamani wakati ajira hazikuwa za kupiga ramli ilikuwa wanapomaliza wale wanaohitajika kubaki kama tutorial assistant waliajiriwa.Shahada ya pili waliipata wakiwa kazini.Sasa hivi ni ngumu kuwapata kwa kuwa wahitimu wenye sifa hizo wanakuwa wamemezwa na soko huria.
Kiasi gani analipwa ni makubaliano kati ya management yake na klabu. Tatizo siyo la klabu kwani kwenye biashara ni win win situation. Wao waliona zinatosha ndiyo maana walisaini mkataba hadi 2024.
Kuhusu kununua mkataba kama klabu bado inamhitaji mchezaji inayo haki ya kukataa na kanuni...
Mbolea ipi imeratibiwa kwa utulivu?.Watu tulianikwa juani kama dagaa tukigombea kujiandikisha Sasa hivi tunazurura na vocha mbolea hakuna.Mfano Mbeya na Songwe hakuna mbolea.Inasemekana wasambazaji hawajalipwa waliosambaza awamu ya kwanza.
Hakuna mahali popote panapompa refa mamlaka ya kwenda kunyume na maamuzi ya marefa wasaidizi.Kama wamepatia safi na kama wamekosea unakuwa msala wao na refa hatalaumiwa.
Kinadharia iko hivyo.Lakini ukweli unabaki kuwa inaweza kupita miezi 3 DC hajapata OC yoyote.Na kama amepelekewa inaweza isitoshe hata kuandaa chai. Wilaya nyingi Ma DC ni wanyonge kwa ma DED.
Kuonyesha kwamba Sheba ni Efhiooia ya sasa miaka ya 70 kulifanyika operesheni kubwa ya kuwahamisha Wayahudi weusi(Mafalasha) na kuwaunganisha na wenzao huko Israel.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.