MATOKEO Yenyewe, Yanaweza kuwa Hamad Rashid, wa ADC akapata kura nyingi sana (staged votes) , labda akazidiwa asilimia moja hadi tano tu na Rais anaendelea 'na muda wake wa urais' Dkt.Shein. Kisha ukarabati ukafanyika kidogo na anakuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Ametamani sana...
Wacha na utimie huo 'unabii' wa mwalimu. Hongera zao manabii wa kuhubiri haki hata kama kuwataja wanaokalia haki za wengine kutaonekana kana kwamba ni 'hukumu'.
Pia tukumbuke Nyerere alishatoa angalizo; SERIKALI DHALIMU HAIKUSANYI KODI KWA MATAJIRI. Kuliparafrezi hilo, SERIKALI ISIYOJALI...
Malechela, anasahau kwamba hiyo mifumo ya chama na serikali haiko imara, IMELEGEA, IMEFITINIKA.ANALIJUIA HILO. Mifumo Haiaminiki!! na ndiyo maana watu wanalumbana. kwa kuita press conference naye anaendeleza malumbano. NI UZANDIKI ULE ULE. ASIJIDANGANYE KWAMBA CCM NI IMARA KAMA ILE YA ENZI ZILE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.