Hoja hapo ni kutaja hayo matusi kwani ccm mumezoea uzushi mpaka sasa muko makanisani kueneza kwamba serikali tatu jeshi litapindua nch basi bola tupinduliwe na jeshi kuliko kutawaliwa na ccm
Kama hakuwa mungu ni lazma akosolewe kwan nyerere jaman aliumbwa tofauti na binadamu wengne shida yote ya muungano tunaipata ni kwasababu waasisi wa muungano hawakuwa wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.