Recent content by limbe kelvin

  1. limbe kelvin

    GE2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

    kwa hiyo Tanzania siku hizi inatumia wazungu katika sheria na utawala, hatutungi sisi inamaana tunatumika na wazungu
  2. limbe kelvin

    BBC News: Tanzania MP Zitto Kabwe gets death threats over World Bank loan

    trump tu yeye anashutumiwa kwa kuongelea uchumi wa nchi yake na mataifa mengine ndio maana anatakiwa avuliwe uraisi iweje sisi mtu anafunga safari kwenda matifa hayo
  3. limbe kelvin

    Dodoma: Wabunge wanena kuhusu zuio la Marekani kwa Makonda

    wew wewe ache uoga kama ni kufa tumekufa sana Africa na hao mabeberu, sasa tunatakiwa kujitambua waafrika tusitawaliwe tena na watu wanaotutaka tuwe mashoga
  4. limbe kelvin

    Dodoma: Wabunge wanena kuhusu zuio la Marekani kwa Makonda

    shame to USA, Mwacheni Makonda afanye kazi
  5. limbe kelvin

    Dodoma: Wabunge wanena kuhusu zuio la Marekani kwa Makonda

    mwacheni mpigania maendeleo na tumuunge mkono amedhibiti ushoga na utumiaji madawa kwa sasa nchi yetu inaenda kuwa salama hasa kwa kizazi kilichokuwa kinaenda kuwa useless, hao watu wa mataifa ya magharibi ni lini wakatutakie maendeleo na amani yetu, kilasiku wanahitaji kututawala na kutunyonya...
  6. limbe kelvin

    Kampeni inayoratibiwa na Halima Mdee, Peter Msigwa, Godbless Lema Na Tundu Lissu Ya "JiondoeVodacom" ni kwa ajili ya Lowassa

    kwanini viongozi hawa wanahangaika na vitu visivyo vya msingi sana, nadhani ingependeza kutuelimisha namna ya kujiondoa na umaskini, katika jamii zetu. watanzania tungezidi kuwapa heshima zaidi.
  7. limbe kelvin

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    watanzania tusiwe watu tusio nashukrani, Mungu katupatia Kiongozi mwenye nia njema na nchi yetu na anapambana usiku na mchana kwa ajili ya watanzania si kwa matakwa yake binafsi ila kwa wote, tumuunge mkono juhudi zake, hasa za kupambana na wala rushwa wakubwa na wadogo. nafurahia sana juhudi...
  8. limbe kelvin

    Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    nyocksie, naomba unielimishe kuhusu Ng'ombe aina ya Nyakore ,changamoto zake na namna ya kuwafuga lakini vilevile namna ya ukamuaji maziwa. nitashukuru Mtaalam
  9. limbe kelvin

    Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    guzman hii aina ya ng'ombe inafanana je mbona miesiifahamu, hebu nifahamishe
  10. limbe kelvin

    Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    ufungaji unahitaji muda hasa kwa wakati huu, kumhasi Mbuzi ni jambo jema lakini inahitaji vilevile chakula cha kutosha ili aweze kunenepa, haitoshi hivyo tu ila dawa nazo zinahitajika kuuwa wadudu na viroboto, kupe na vimelea vingine, kumfanya Mbuzi aweze kuwa kukua vizuri, lakini vilevile banda...
  11. limbe kelvin

    Tuwataje "100 Greatest Tanzanian of all time"

    Statesmann, Umeonyesha ukomavu wa historia na namna unavyo ifatilia lakini tusisahau watu wengine kama machief ambao kwa wakati wao nao waliipeleka mbele Tanzania kwa kuitetea zaidi itapendeza zaidi tukiwaweka Machief wote katika orodha hii.
  12. limbe kelvin

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    hii sasa si nzuri kwaTundu, nadhani Tundu anapaswa kuangalia maisha ya watanzania wengi waliokuwa katika shida enzi zile na sasa ambapo zamani usafiri tu ilikuwa shida lakini sasa usafiri ni wa kuchagua mwenyewe, hapo namaanisha si kila kitu lazima kiwe dhahabu hapana na hata binadamu si malaika...
  13. limbe kelvin

    Serikali iwe makini na Lissu maana hana cha kupoteza

    nadhani tunatakiwa kufikiria zaidi juu ya tanzania yetu ya madini kuliko ya watu binafsi, watanzania wengi tunasahau uzalendo. tutafakari kuhusu Tanzanite, dhahabu, almasi , ulanga , mabati, samaki, maji kwa nchi yetu ambayo mikataba ya zamani imetutesa sana, tumsaidia Rais wetu anayejituma...
Back
Top Bottom