Recent content by lilytimoth

  1. L

    Mke wangu hana hobby ya kitu chochote

    Hivyo vitu unavyosema hafanyi ni very unnecesary wat matters ni kwamba anakupenda anakutimizia mahitaji yako......sa hivyo vingine unalalamika bure coz hata vicpokuwepo bado maisha yataendelea...
  2. L

    "Mama yangu yu mgonjwa kweli na anatakiwa kupelekwa INDIA,Je utanisaidiaje?"

    Wakati unamtongoza ulikuwa unategemea kudo kwanza au.....na hao mke na watt wako wamekujaje kama ulikuwa unajua unaweza kutumikia watu wawili kwa wakati mmoja......toa pesa coz ndo uliyiyataka!
  3. L

    Huyu ni mwanaume mkweli!!!!

    Run for ur life ts a free advice!!
  4. L

    Ugojwa mpya umewaingia wadada na wamama.

    Hahahahahahh ndo nyie nyie mnaoacha wake zenu hom rafuu halafu mkiona mwamke kapendeza barabarani mnaanza kumtamani.....wapendezesheni wake zenu hom kila cku muwaone wapya kama ulivyomuona first tym.....shopping must!
  5. L

    Amemfumania mchumba wake aki cheat, afanye nini?

    Kama alishindwa kumwambia kwamba amekutana na huyo msichana unategemea amwambie eti leo kuna demu anakuja au alikuja kulala kwangu ni lazima angefanya kicricri. Mi namshauri amwache co unaamua kua nae then unakuja kujutia baadae!
Back
Top Bottom