Recent content by Lilian Wasira

  1. L

    Mtatiro unapoteza muda CUF...karibu CHADEMA!

    Mimi naamini kabisa ipo siku Mwenyezi Mungu mwanzilishi wa haki, ataongea na moyo wa Mtatiro ahamie chadema. Spirit aliyonayo ni ya chademaa!! Sio kwamba CUF sio chama kizuri, ila tu kwasababu tunapigania ukombozi na chadema ndio inaelekea kuokoa jahazi..Nchi ya Tanzania sasahivi ni kama...
  2. L

    Yaliyojiri: Kongamano la amani ya Tanzania - Julai 28, 2013

    Huo ni uwongo ulioenda shule..Hatuna tatizo na baba yetu... Acha uchochezi..ukoo wetu aukuhusu.
  3. L

    Mwalimu wa nursery anatafutwa!

    Tunahitaji mwl wa nursery mwenye sifa zifuatazo; 1.awe fluent in English 2. awe raia wa nchi yoyote mwenye work permit 3.awe amesomea watoto wadogo 4.awe anaweza kujituma bila kusimamiwa 5.awe mbunifu. 6.Mwanamke atapewa kipaumbele zaidi. Piga simu namba 0719604156..
  4. L

    Matrons wa shule ya bweni wanatafutwa!!!

    Kuna nafasi chache za matrons wa shule ya bweni iliyoko maeneo ya airport..mshahara mzuri! Vigezo; 1.Aweze kuongea kiingereza vizuri sana. 2.Waalimu watapewa kipaumbele zaidi. Piga namba 0719604156...
  5. L

    Nafasi tano za kazi ya u Matron....

    Matrons wanatakiwa kwaajili ya shule ya bweni..wawe wazoefu wa kulea watoto wadogo na wenye umri usiopungua miaka 25.. wawe fluent in English na wanaoweza kuishi shuleni isipokua siku za off tu. Walimu watapewa kipaumbele zaidi.......
  6. L

    Nafasi ya Kazi ya Matron

    Anatafutwa matron katika shule ya English medium. Pamoja na sifa nyingine, awe anajua kuzungumza kiingereza vizuri. Piga simu no 0719 604156 kwa maelezo zaidi
  7. L

    Anatafutwa Secretary

    Shule ya Queens' Medium School iliyopo Ukonga inatafuta Secretary anayeifahamu vizuri Computer na anayefahamu vizuri kiingereza. Piga Simu kwa Lilian Wasira, Director, No. 0719 604156
  8. L

    Anatafutwa Secretary

    Shule ya Queens' Medium School iliyopo Ukonga inatafuta Secretary anayeifahamu vizuri Computer na anayefahamu vizuri kiingereza. Piga Simu kwa Lilian Wasira, Director, No. 0719 604156
  9. L

    Namleta Kwenu Kamanda Lilian Wasira, Karibuni kwa Maswali & Majibu

    Wana JF, Asanteni sana kwa ushirikiano wenu kwa masaa haya yote sita na nusu niliokuwa pamoja nanyi, ila sina budi niwaache japo kwa "kitambo tu"; (duty calls); (my baby is awake again.) Asanteni kwa maswali, ushauri, maangalizo na hata mliponikosoa, yote ni katika kujengana. Kama kuna mtu...
  10. L

    Namleta Kwenu Kamanda Lilian Wasira, Karibuni kwa Maswali & Majibu

    Kama nilieleweka vyema, nilisema swala la muungano linaweza kujengwa na vijana zaidi kuliko wazee wetu akina Museveni, Kibaki, JK nk. Hawa hatuwaoni kama wana nia ya dhati ya muungano ndio maana nasema tukijenga umoja wa vijana wa nchi zetu tunaweza kufanya muungano ukawezekana maana sisi...
  11. L

    Namleta Kwenu Kamanda Lilian Wasira, Karibuni kwa Maswali & Majibu

    Naomba nisiwazungumzie watu ila tu Chadema ina katiba na maadili yake. Kama mtu hafuati maadili ya Chama au anatumika kukidhoofisha chama ni lazima hatua zichukuliwe. Siwazungumzii the so called "masalia" ila nazungumzia tu kwa ujumla wake maana sina facts za kutosha kuhusu wanaoitwa masalia
  12. L

    Namleta Kwenu Kamanda Lilian Wasira, Karibuni kwa Maswali & Majibu

    Kama umenielewa sijapinga gesi ambayo itatumika maeneo mengine ya Tanzania na nje ya nchi kusafirishwa
  13. L

    Namleta Kwenu Kamanda Lilian Wasira, Karibuni kwa Maswali & Majibu

    M23, kama nilivyosema, mimi napenda kushughulika na itikadi si watu binafsi. Hata kama akigombea mwanangu au mume wangu kupitia chama nisichokiamini sitamuunga mkono.
Back
Top Bottom