TV ukishazoea LG, Sumsung, Toshiba, Philips hizi brand zingine unaweza usione ni kama TV. Kama umeanza na TCL, Hisence, Evvol,Skyworth au star x na ndugu zake wa daraja la pili, kisha Ukipewa Alitop,Solamax, Maisha, Mo nawengine wengi wa daraja la kichina utaona kuna tofauti sana japo sio kubwa...