Recent content by Likwanda

  1. Likwanda

    (windows OS) Nitro PDF Pro 2025 - 20,000 Tsh

    Hii chief ni free kabisa, ukiingia getintopc.com. Tupendane jamani.
  2. Likwanda

    Wireless earphones zenye bass.

    Mimi binafsi nilikua napenda sana Oraimo kwa ajili ni low budget gadgets ambazo zinakupa muziki mzuri, ila katika kutafuta nikapa Raino aisee hiyo ni balaaa, ina muziki mzuri na bei yake ni chini ya 20k. Naona ni toleo jipya linatafuta kupenya ktk soko. Mziki bass lakitosha na ni clasissic hadi...
  3. Likwanda

    Chadema ndio wanapaswa kulaumiwa na wanachama wao kwa kukataa kusaini kanuni za maadili na sio kuilaumu Tume Huru ya Uchaguzi

    Warioba ni Jaji mstaafu, bila shaka atakua anakuzidi kuijua sheria sana hivyo ingekua vizuri ungenyamaza tu.
  4. Likwanda

    TUPENI mrejesho nyie mliotest Hizo sound

    Bidhaa za kichina hizo ambazoanufacturer an kupa offerya kucustomizer jina unalolitaka, Sasa Majizo hicho kiwanda kipo wapi, na lini alikua mbunifu wa mambo ya sound system!?
  5. Likwanda

    Naomba uzoefu wa mtu aliyechukua mkopo toka Tala hivi karibuni

    Ndugu yangu hakuna watoa mikopo mitandaoni wakakupa 1m, ni kuanzia 30k hadi 120k tena unaweza kujikuta unalipa riba 80% na ujiandae kudhalilishwa.
  6. Likwanda

    Nimenunua taser ndogo

    Mh!! Sasa kama zinauzwa kama njugu uswahilini, je hao wakabaji vikiingia mikononi mikononi mwao si ndio tumekwisha kabisa.
  7. Likwanda

    Naomba mnijuze wakuu fridge za hisense znakuaga na rangi 2

    Namba saba ni maxmam cold temperature, ukiweka namba hiyo vitu vitapata ubaridi kwa haraka au kuganda kwa haraka kama unataka kugandisha. Shida ni kua ukiweka namba sama fridge haitakua ina fanya themostart hivyo itapelekea umeme mwingi kitumika kwa maana haitakuwa inajizima na kujiwasha...
  8. Likwanda

    Tujadili uwepo wa idadi kubwa ya wenye nyumba ambao ni maskini hapa Tanzania hasa jijini Dar

    Unajua kua thamani ya kiwanja inapanda kila siku, sasa kama ni umesikini umeletwa na nyumba basi unaweza kuuza ukaenda kujenga sehemu ambayo mji unakuja na ukapata angalau kamtaji ka kuanzia au kuendelezea biashara.
  9. Likwanda

    Tujadili uwepo wa idadi kubwa ya wenye nyumba ambao ni maskini hapa Tanzania hasa jijini Dar

    Hakuna investment nzuri kama real estate, nyumba ni investment bora ambayo inakupa vitu vingi kwa wakati mmoja. Kwanza inakupa uhakika wa sehemu ya kuishi bila kusumbuliwa kodi, inakupa uhakika wa kukupa pesa ya uhakika iwapo unafanya biashara ya kupangisha au unapofanya maboresho ya nyumba n...
  10. Likwanda

    Hii hapa Television ya kumiliki kulingana na kipato chako

    TV ukishazoea LG, Sumsung, Toshiba, Philips hizi brand zingine unaweza usione ni kama TV. Kama umeanza na TCL, Hisence, Evvol,Skyworth au star x na ndugu zake wa daraja la pili, kisha Ukipewa Alitop,Solamax, Maisha, Mo nawengine wengi wa daraja la kichina utaona kuna tofauti sana japo sio kubwa...
  11. Likwanda

    Kwenye mashindano ya Quran kwa wasichana nimeona kamari ikichezeshwa. Je, Uislamu unaruhusu kamari?

    Kamali imetokana na nini iwapo watu hawajachangishwa chochote kinachotokea ni kuwa drone inapiga picha swhemu soyote ya uwanja ikikumulika kwa muda hadi kufikia kupunga mkono unakua umebahatika zawadi.
  12. Likwanda

    Nini kilisababisha Kufa kwa “Kupatana”

    Kwa kweli kupatana walikua viziuri sana, nashukuru niliweza pata vitu vingi bora kupitia huko na kwa bei rahisi sana.
  13. Likwanda

    TTCL Fiber ukimuunga mtu atumie Wi-Fi yako moja kwa moja anakuwa na access ya router yako

    Haujui tu namna ya ku access router yako na ukaifanyia setting, omba watu wakusaidie.
Back
Top Bottom