Recent content by LIKUWA JR

  1. LIKUWA JR

    Matunda ya Usanii wa Mwalimu Nyerere yaanza kuonekana!

    Si kila upumbavu ni upumbavu,upumbavu mwingine una uelevu ndani yake jaribu kuutafakari barabara
  2. LIKUWA JR

    Muswada wa Vyama vya Siasa uko tayari. Kusomwa bungeni Novemba 2018

    Hivi China wana vyama vingapi?maana wakati mwingine vyama vingi kama vya bongoland kama havina umuhimu maana vinatumika kuturudisha nyuma.
  3. LIKUWA JR

    Fatma Karume, kubali umeteleza

    Kama inawezekana basi nawa exit JF kama jina lako.
  4. LIKUWA JR

    Naibu Waziri wa Afya Dr Faustine Ndugulile awataadharisha wananchi na wataalam wa afya wanaofanya biashara ya UTI

    Naunga mkono hoja yako hata kama mimi siyo daktari Ila hospitali nyingi binafsi wanafanya biashara ya kuuza dawa kuliko kutoa tiba..... unaeza andikiwa kipimo kikubwa ungali wala simgonjwa kwa kiwango hicho.
  5. LIKUWA JR

    Naibu Waziri wa Afya Dr Faustine Ndugulile awataadharisha wananchi na wataalam wa afya wanaofanya biashara ya UTI

    Ni kweli kiongozi kama frequency imekuwa kubwa kuna haja ya kulifanyia kazi kama hoja yako ilivyo......angalizo ni kwamba hospitali
  6. LIKUWA JR

    Shuhudia Mwenyewe: Ukishamaliza kumuogopa Mungu iogope hii kitu inaitwa sayansi na teknolojia

    Pamoja na hii picha maelezo yangesaidia hata kama akili za kuambiwa ongeza na zakwako.
Back
Top Bottom