Recent content by likengengema

  1. L

    OZ 12: Maswali 7 Yasiyopendwa na Wale Wanaomtaka Lowassa; Msingi wa Kukataliwa Kwake Jumapili

    W=FXD Unajua! unaweza kusuma ukuta uliosimama kwa nguvu zako zote ili uanguke ukatoka jasho jingi na hatimaye ukajisikia kuchoka na ukuta usianguke kazi uliyofanya kisayansi ni sawa na 0%. the same applies to the tz government under CCM for long time now.
  2. L

    Lowassa asivyofaa kugombea urais

    Usidhani kuwa wote tunafikiri kama unavyofikiri wewe, kuwaza kama unavyowaza wewe, kupenda kama unavyopenda wewe, kuchuka kama unavyochukia wewe. Jiulize huyu unayempenda kakuchagulia nani. Tafakari.
  3. L

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Poleni familia yake na watanzania wote. Bwana alitoa na Bwana ametwaa. Jina lake Lihimidiwe. Amina
  4. L

    Kauli Mbili Muhimu za Mwalimu Nyerere

    Kwani huyu rais anaye tuongoza kuwa maskini, wajinga na tufe kwa magonjwa yanayotibika ametokea chama gani eti!! ni CHUMA, CHAUSTA, ACT au ni lichama ambalo halijulikani popote duniani?
  5. L

    Wapo waliojaribu kupambana na system ila mwisho wao haukuwa mzuri

    Wewe muumini wa "system" ebu tuambie hiyo system inafanya kazi kwa faida ya nani? Napata ukakasi kukuelewa unaposema kuwa wewe huna itikadi ya kisiasa ila ni system. Ikiwa inafanya kazi kwa faida ya watanzaia tunaitakia kila la heri hiyo system maana ni ya kwetu sote, kama ni kwa manufaa ya...
  6. L

    Swali la Ugomvi: Kwani Lowassa Kawa Mganga wa Kienyeji?

    Soma haka kaushairi "NJIWA" tafakri na utajua kwa nini hawa watu wamegeukia upande huo. 1. Njiwa unapomtunza, vema unapomuweka, Na iwe utamfunza, sheria inavyotaka, Mambo hayatakutanza, ukawa unasumbuka, Njiwa atakutoroka, iwapo hukumtunza. 2. Kiumbe ataka kazi, kwa uzuri kufugika...
  7. L

    Taasisi iliyombeba Lowassa ni mali ya CHADEMA

    Ikiwa wahuni wataamua kumchagua rais muhuni na kura zikatosha katika nchi ya wahuni wewe utakuwa nani, wewe usiye muhuni utakuwa na status ipi?
  8. L

    Kauli ya Martine Luther juu ya marais wenye upara/baldin/uwaraza

    Hata huyu jamaa yetu Mgombea mkubwa mwenye kaupara, kwa mke wake ni shidaaa!!!
  9. L

    Tuitafakari kauli hii ya mwanamabadiliko Mh. Sumaye

    Ndugu yangu Dogo1 hizo picha ni kiashiria tu cha tofauti ya maendeleo katika usafiri wa miji yetu. pamoja na kwamba Adis Ababa wa metupita kwa mbali lakini hata hiyo treni kiwakilishi ya Mwakyembe sasa hivi haipo tena kwenye ramani ya usafirishaji abiria dar. Ni nadhani huu ni mpango mkakati wa UDA
  10. L

    Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi

    Mtoa uzi maana ya neno "tuhuma" tafadhali.
  11. L

    Tumewaambia hamsikii; tumewaomba hamtaki; sasa tunawatisha na 'kuwakomfyuzi'

    Kwani nini ya Libya yaje hapa kwetu? Kumbe UKAWA wakishinda CCM mmepanga kuanzisha machafuko hapa nchini?
  12. L

    Kilichobaki ni ushabiki wa vyama tu

    Hivi kuna ahadi mpya ambapo ukiacha za miaka ishirini iliyopita. sasa kama ahadi ni zilezile kila siku kwa nini kupoteza muda wako kufuatilia kitu kile kile miaka nenda rudi mafanikio hayaonekani. kwa mtu mwenye ufahamu hawezi kufanya hivyo labda kama huyu mtu ni lyapugile kabisa.
  13. L

    Video: Ufunguzi wa Kampeni za Ubunge wa CCM Ubungo Masaburi-2015

    Mbona naona kama kunamchuuzi wa mitumba akinadi mitumba yake!!
  14. L

    Hujuma zimeanza Jimbo la Segerea dhidi ya Julius Mtatiro

    ameridhia kimaandishi au kwa kauli tu kama kama alipewa maandishi alitakiwa kuridhia kwa maandishi.
Back
Top Bottom