Taasisi iliyombeba Lowassa ni mali ya CHADEMA

Taasisi iliyombeba Lowassa ni mali ya CHADEMA

My friend; Independent/cy; is a relative term!! I respect Rakesh Rajani big time and TWAWEZA of his time; he did a great job at HAKI ELIMU and TWAWEZA the predecessor; not after he left!! The TWAWEZA; now transformed into TWANUNULIKA; is a shadow of itself; sorry!!

IPSOS/SYNOVATE; given what I know about it and my Kenyan experience; I reserve my comment!!

Bottomline is reseach reports from Tom; Dick and Harry or whatever you want to call them not withstanding; the true opinion of the general citizenry about our countrys political future is still a few weeks away, on October 25th 2015; The Ballot Box. period

Hayo ni maoni yako, twaweza wenyewe ndio waliosema wako independent sio mimi na siwezi kuwabishia coz wenye taasisi yao ndio wanajijua zaidi kuliko sisi tuliokuwa nje.

Kwa kuwa ulishajiturn na tayari una maamuzi ya kupinga kila kila kitu hata kama ni fact ilimradi uwaridhishe mabwana zako sikushangai. Haya kama hayo wamekuwa twanunulika ipsos ni ya kimataifa na ya tatu kwa ukubwa duniani na ambao pia walitoa matokeo yanayoshahibiana na ya twaweza. Ni kampuni ambayo nchi 87 zimewakubali then nyinyi kikundi cha watu wachache mnapinga eti ni ya wakenya, hapo ndipo unapoonyesha ni jinsi gani ubongo wako ulivyofubaa.

Sometym shirikisheni ubongo wenu si kila kitu cha kupinga hata kama umeagizwa kufanya hivyo huo ni utumwa wa fikra na mawazo. POLE SANA

Eti i reserve my comment for ipsos. Ujinga mtupu huna unachokijua umeona wapi wananchi au wanachama wa vyama vingine vya siasa wamejitokeza na kuupinga utafiti wa TADIP? Wengi wameukubali na kwa mtazamo kuwa kwa sababu ni ya Chadema kamwe hawawezi kutangaza eti Mgombea wa CCM anafanya vizuri. MNATUAIBISHA SANA HUKO NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU TUNAONEKANA WOTE MAZEZETA KAMA NYIE MISUKULE YA UFIPA
 
Mm ninahasira na hii mijitu yaani nangoja 25 octb,yaani nitakuwa wa kwanza kuchinja.tumevumilia chakutosha sasa basi,
 
Kwa maswali wanayouliza hawa misukule ya ufipa inaonyesha ni watu wa aina gani na mwisho wa elimu yao. Kwa utafiti tuu wa michango ya wafuasi wa chadema katika huu uzi inaonyesha ni watu wenye hali duni kimaisha, wavivu wa kufanya kazi, watu wenye akili za kushikiwa ( unaweza ukamuonyesha kinyesi kinachotoa harufu mbaya na kumdanganya kuwa ni keki na akakubali bila kuhoji) pia ni watu wenye msongo wa mawazo waliokata tamaa ya maisha kwa uvivu wa fikra na kujishugulisha.

Wapambe wa Lowasssa wana sifa kuu zifuatazo:

1. Wategemezi. Wanasubiri eti mwenzao spate waanze kula kama kupe, kila mmoja atapata.

2. Wavivu
Wanabagua kazi, hawaamini katika kufanya kazi kujiletea maendeeo na wanapenda sana michongo

3. Hawajaelemika.
Yawezekana baadhi wakawa na elimu lakini hawakuelemika katika kuutumia ufahamu wao kunyambulisha mambo na ndo maana wana jazba, wana matusi, na hawawezi kujenga hoja

4. Wababaishaji.
Kwao ukweli si hoja, wameamua kuacha hisia zitawale uharisia. Wanafananishwa na watu wenye matatizo ya kisaikolojia
 
Mm ninahasira na hii mijitu yaani nangoja 25 octb,yaani nitakuwa wa kwanza kuchinja.tumevumilia chakutosha sasa basi,

Kwenye hizo tabia nne nilizozitaja na wewe una kundi lako hapo, wewe ni mbabaishaji
 
My friend; Independent/cy; is a relative term!! I respect Rakesh Rajani big time and TWAWEZA of his time; he did a great job at HAKI ELIMU and TWAWEZA the predecessor; not after he left!! The TWAWEZA; now transformed into TWANUNULIKA; is a shadow of itself; sorry!!

IPSOS/SYNOVATE; given what I know about it and my Kenyan experience; I reserve my comment!!

Bottomline is reseach reports from Tom; Dick and Harry or whatever you want to call them not withstanding; the true opinion of the general citizenry about our countrys political future is still a few weeks away, on October 25th 2015; The Ballot Box. period

Kiinglishi sikijui vizuri maana mi mbongo asili. Nimeambulia mojamoja ila kiswahili wanasema, AJIDHANIYE AMESIMAMA AANGALIE ASIANGUKE.
 
Ikiwa wahuni wataamua kumchagua rais muhuni na kura zikatosha katika nchi ya wahuni wewe utakuwa nani, wewe usiye muhuni utakuwa na status ipi?
 
Ikiwa wahuni wataamua kumchagua rais muhuni na kura zikatosha katika nchi ya wahuni wewe utakuwa nani, wewe usiye muhuni utakuwa na status ipi?

Haya hayajawahi kuwepo ndo maana hatuwezi kujadiri mambo ambayo ni adhania, tunajadiri hoja ( facts ) tu.
 
Poor Danny Green, you are unfortunately too green to feature in such high powered intellectual dispositions; you are a ROOKIE!! Hebu angalia profile yako ya JFulinganisha na ya kwangu utaelewanina maana gani kusema you aretoo green; Danny Green!!!
Join Date : 5th February 2014
Posts : 1,758
Rep Power : 0

Likes Received: 419
Likes Given: 14

Danny Green; kutumia lugha hasi ni kuishiwa na hoja, na ni kielelezo thabiti cha haiba yako mbovu; (weak personality) na uwezo wako dhaifu wa kufikiri; (IQ ndogo pia kama sio elimnu duni) na kujenga hoja na kuiwasilisha; na makuzi mabaya!(Poor upbringing)

When you start running on empty; meaning out of ideas; ikawa sababu ya kuanza kutumia lugha ya utusi kama Timu ya Ushindi ya CCM; mimi ni nani bwana kukuhukumu; wanajamvi watakusoma na kujenga opinion yao kuhusu kiumbe wewe mwenye ID hiyo ya Danny Green!!

Matusi not withstanding; my argument stands; TWAWEZA now renamed TWANUNULIKA; they have stooped too low to command any respect in an enlightened community; ruksa wewe kuendelea kutukana kama inakusaidia kuinua uwezo wako wa kufikiri ambao kwa viwango vyovyote vile; ni dhaifu sana; ni kaput!!!

No worries danny Green; Ukikua utaelewa!!

Hayo ni maoni yako, twaweza wenyewe ndio waliosema wako independent sio mimi na siwezi kuwabishia coz wenye taasisi yao ndio wanajijua zaidi kuliko sisi tuliokuwa nje.

Kwa kuwa ulishajiturn na tayari una maamuzi ya kupinga kila kila kitu hata kama ni fact ilimradi uwaridhishe mabwana zako sikushangai. Haya kama hayo wamekuwa twanunulika ipsos ni ya kimataifa na ya tatu kwa ukubwa duniani na ambao pia walitoa matokeo yanayoshahibiana na ya twaweza. Ni kampuni ambayo nchi 87 zimewakubali then nyinyi kikundi cha watu wachache mnapinga eti ni ya wakenya, hapo ndipo unapoonyesha ni jinsi gani ubongo wako ulivyofubaa.

Sometym shirikisheni ubongo wenu si kila kitu cha kupinga hata kama umeagizwa kufanya hivyo huo ni utumwa wa fikra na mawazo. POLE SANA

Eti i reserve my comment for ipsos. Ujinga mtupu huna unachokijua umeona wapi wananchi au wanachama wa vyama vingine vya siasa wamejitokeza na kuupinga utafiti wa TADIP? Wengi wameukubali na kwa mtazamo kuwa kwa sababu ni ya Chadema kamwe hawawezi kutangaza eti Mgombea wa CCM anafanya vizuri. MNATUAIBISHA SANA HUKO NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU TUNAONEKANA WOTE MAZEZETA KAMA NYIE MISUKULE YA UFIPA
 
Basi kama ndivyo twaweza nao wanamilikiwa. Nikuombeni tutajie wamiliki wa hizo taasisi nyingine ?
 
Poor Danny Green, you are unfortunately too green to feature in such high powered intellectual dispositions; you are a ROOKIE!! Hebu angalia profile yako ya JFulinganisha na ya kwangu utaelewanina maana gani kusema you aretoo green; Danny Green!!!
Join Date : 5th February 2014
Posts : 1,758
Rep Power : 0

Likes Received: 419
Likes Given: 14

Danny Green; kutumia lugha hasi ni kuishiwa na hoja, na ni kielelezo thabiti cha haiba yako mbovu; (weak personality) na uwezo wako dhaifu wa kufikiri; (IQ ndogo pia kama sio elimnu duni) na kujenga hoja na kuiwasilisha; na makuzi mabaya!(Poor upbringing)

When you start running on empty; meaning out of ideas; ikawa sababu ya kuanza kutumia lugha ya utusi kama Timu ya Ushindi ya CCM; mimi ni nani bwana kukuhukumu; wanajamvi watakusoma na kujenga opinion yao kuhusu kiumbe wewe mwenye ID hiyo ya Danny Green!!

Matusi not withstanding; my argument stands; TWAWEZA now renamed TWANUNULIKA; they have stooped too low to command any respect in an enlightened community; ruksa wewe kuendelea kutukana kama inakusaidia kuinua uwezo wako wa kufikiri ambao kwa viwango vyovyote vile; ni dhaifu sana; ni kaput!!!

No worries danny Green; Ukikua utaelewa!!

Kama kuna member wa JF ambaye ana akili Finyu basi ni wewe. Na inaonyesha ni jinsi gani mlivyokuwa wepesi kununulkiwa akili zenu mpaka miili yenu. Kuendelea ku reply post zako nitaonekana kuwa na mimi nina akili zako. Kujiona unajua mambo eti kisa ni wa zamani hapa jf inaonyesha upstars uko vipi. Have a nice day
 
Look @ You!! Mentally blocked!! Ukikua utaelewa dogo!! Bs; Poor Danny Green, you are too green to feature in such high powered intellectual dispositions; wewe praise singer tu wa kutukana kama team ya ushindi ya CCM!

Kama kuna member wa JF ambaye ana akili Finyu basi ni wewe. Na inaonyesha ni jinsi gani mlivyokuwa wepesi kununulkiwa akili zenu mpaka miili yenu. Kuendelea ku reply post zako nitaonekana kuwa na mimi nina akili zako. Kujiona unajua mambo eti kisa ni wa zamani hapa jf inaonyesha upstars uko vipi. Have a nice day
 
Back
Top Bottom