Recent content by likat

  1. likat

    Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

    Unaandika kabisa uliweza kuzi overtake gari nne bila shida ungematwa na traffic ungejua shida ipo. Sheria inakukataza kuo overtake gari zaidi ya moja kwa mpigo harafu wewe unajisifu
  2. likat

    Natufuta breaching earth

    Habari wakuu, ninaweza kupata wapi breaching earth - bentonite clay minerals kwa ajili ya matumizi ya ku refine mafuta ya kupikia hapa Tanzania? Nina mini scale refinery machine Mbeya
  3. likat

    Seeking investor

    Kama nitaweza kupata e mail yako au whatsapp number ninaweza ku share pitch deck Kam
  4. likat

    Seeking investor

    okay, uwekezaji unaotakiwa ni wa tsh 10,000,000. ( milioni kumi) Huu uwekezaji unahitajika kama operating capital. Uwekezaji huu unalenga katika kupata malighafi kama mafuta ya mawesa, Materials muhimu( breaching earth) katika utengenezaji wa aya mafuta, p kutumia refinery machine , packiging...
  5. likat

    Seeking investor

    Nina refinery ndogo ambayo ina uwezo kufanya refining mafuta ya kupikia kama alizeti, soya, mawese nk na kuyaboresha zaidi katika viwango vilivyoidhinishwa na TBS. Nipo Mbeya na mwekezaji itakuwa vizuri naye akiwepo Mbeya. Refining ina uwezo wa kuzalisha lita 2000 kwa siku au tani 1.7 au ndoo...
  6. likat

    Nawezaje kupata pesa za mkopo ili niendeleze uwekezaji wangu?

    Asante sana mkuu, ni kweli kabisa sera za kuinua early stage sme,s Tanzania hakuna.
  7. likat

    Nawezaje kupata pesa za mkopo ili niendeleze uwekezaji wangu?

    Nahitaji ushauri. Mimi ni entreprenuer ninayeanza. Nategemea kujishughulisha na utengenezaji wa vyakula vya mifugo na pia uchakataji wa mafuta ya kupikia katika hatua ya " refining". Nimesha install machine kwa ajili ya uwekezaji. Kiufupi nimewekeza Tsh 100,000,000 kama physical capital hasa...
  8. likat

    Matumizi ya ChatGPT na poe kulemaza akili

    Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unazidi kuathiriwa na matumizi ya mifumo ya akili bandia kama ChatGPT na mifumo mingine. Ni kweli inarahisisha mambo kwa kiwango cha juu lakini akili za mtu zinazidi kudumaa.
  9. likat

    Ushauri: Nimemaliza chuo, nina mtaji wa 2M. Naweza kufanya biashara gani?

    kwa huo mtaji unaweza ukaanza biashara ya utengenezaji wa vyakula vya kuku kitaalamu( poultry feed manufacturing) , DSM wafugaji wa kuku ni wengi. Ukitengeneza chakula kizuri na bei ikiwa nzuri , utapata wateja. Tafuta flemu weka biashara. Unaweza ukaanza kutengeneza kg 500. Unachanganya na...
  10. likat

    S 300 air defense batteries

    Can Israel neutralize Russia S 300 missile defense system ?
  11. likat

    Tomahawk cruise missile

    Tomahawk cruise of missile may be US weapon of choice to strike syria military targets. The cruise missile which launched from the Navy destroyer ship is difficult to be track and neutralized by the air defense. Also the missile uses inferred sensors to jam air defense missiles. It can...
Back
Top Bottom