Yaani PSSSF ni janga before ilikuwa unalipwa kama unamiaka miwili katika ajira lakini kwa sasa ni mpaka uwe na miaka mitatu katika ajira.yaan watu wamechangia alafu hawalipwi ,hii hata kisheria haipo kwamaana makubaliano ni miaka miwili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.