Yaani sisi binadamu, Mungu alishatuona kuwa wote tumepotoka. Namuona mtu mmoja aliyekuwa peke ake miaka mi3 nyuma leo ndo ana wote bila hata maelezo yoyote.
Kama askofu ni muovu na hataki kukiri uovu na kuomba msamaha, unadhani atawezaje kumhudumia Freeland, Watakatifu/ Manabii wa Yesu hujulikana kwa matunda yao na kufidi nchi si moja ya matunda hayo!
Hapana, haikutolewa kama sheria kwamba kila ukifika mahala patakatifu ni sheria kuvua viatu ili uwe mtakatifu, kwa maana katika ibada zote walizofanya waisrael wa mwanzo mahala patakafu, haikua sheria kuvua viatu, si kwa kuhani wala waamini, na katika matendo ya watatifu wa Mungu hakuna kuvua...
Na vp Mungu akihukumu huo mfumo, na wewe ukiwa ndani yake, utahisi hatendi haki, kwa maana amekupa uelewa wa kutambua kuwa ni mfumo usio na kweli ndani yake. Na hukumu kwa marehemu(kwa dhambi ya kuoa wake wawili) na kuombea marehemu vipo kwenye vifungu vipi vya biblia ili nami nipitie?
too little to understand this my friend. if God intend to imply the image of your face, how many faces God have, you need to grow into it to come along with, otherwise its a curse to you!
Alikuja kama kiongozi wa serikali, kutambua uwepo wa serikali, na kwa serikali za kidunia sidhani kama angepatikana msafi mbele ya Mungu, maana kwa sheria za Mungu hata hao unaodhani ni wasafi hawawezi simama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.