Recent content by Life Enthusiast

  1. Life Enthusiast

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Swali langu, wakristo hawakushiriki? Kama wapo—kwanini unaipaka rangi uislam historia ya harakati za Uhuru wa nchi hii? Kwanini tusiwaite tu kuwa ni Watanganyika waliosahaulika? Kama unachagua kuwaita Waislam, nitakuwa sawa mimi nikiwatizama kuwa ni Wazaramo na Wamanyema ndio waliopigania uhuru...
  2. Life Enthusiast

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Ni lazima Historia iwepo, so hata asingebakia yeye, ni lazima historia ingekuwepo kwa mwingine. Nachosema imekuwa na manufaa makubwa kwa nchi historia hii kuwa ilivyo kuliko namna ambavyo Wanahistoria wa mrengo wa kiislam kama Mohamed Said wanavyotaka historia ya nchi hii kuipaka rangi ya...
  3. Life Enthusiast

    Ushauri wa Gerald Hando kuhusu tiktok ni mwiba kwa uhuru

    Uzuri wa Twitter iko well filtered kiasi kwamba bila wewe mtumiaji kuzitafuta hizo Pornographic contents, huwezi zikuta tu kwenye Timeline yako.
  4. Life Enthusiast

    Ushauri wa Gerald Hando kuhusu tiktok ni mwiba kwa uhuru

    Kwani Quora si ni sawa sawa na JF tu?
  5. Life Enthusiast

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Tatizo sio historia ya kweli, tatizo ni namna gani historia hiyo inawasilishwa. Historia ikimilikiwa na kundi fulani la kijamii ni hatari kwa nchi zetu hizi ambazo bado mitazamo ya kidini, itikadi bado inatawala jamii zetu. At times, nawaelewa kwanini Nyerere aliamua historia hii iwe 'kabatini'.
  6. Life Enthusiast

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Nadhani tatizo kubwa ni namna ambayo Mohamed Said ameamua kuitazama Historia hii. Kuna wakristo wengi sana wameshiriki kupigania uhuru mf Rupia, Pombeah, Vedasto Kyaruzi, Mutahangaya, Fiah, Kasela bantu, Kirilo wa Moshi n.k, sambamba na waislam hao kina Sykes. Halafu, hawa wapigania uhuru wa...
  7. Life Enthusiast

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Vipi tukitazama kuwa ni Kujenga Umoja wa Kitaifa?. Hebu Tazama, Historia hii yote umeiweka kuwa ni 'Waislam ndio wamepigania Uhuru wa nchi hii'. Vipi mtazamo huu wa Historia ndio ungekuwa unafundishwa mashuleni, Je, unadhani Umoja wa Kitaifa ungekuwa namna ulivyo leo?
  8. Life Enthusiast

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Kuna siku nilikuwa ninazungumza na mzee mmoja pale Tabora (yuko 90s kwa sasa). Nilimuuliza swali kuwa ni kweli kuwa Wakristo hawakushiriki harakati za kupigania uhuru. Alinijibu kuwa; 'walishiriki ila kwa siri, kwa kuhofia kupoteza kazi zao serikalini'. Kuna mahali nilisoma umeeleza kuwa...
  9. Life Enthusiast

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Hii familia, licha ya kuwa wanastahili sana kutambuliwa kwenye historia ya nchi hii, lakini I don't see any thing noble in them kama ambavyo wanahistoria kama Mohamed Said wanataka kutuaminisha. Ukifuatilia historia yao, walikuwa ni Opportunists sana, na pengine haya malalamiko ya kutengwa...
  10. Life Enthusiast

    Huyu Aubrein Modiba anacheza namba gani pale Mamelody?

    Kwa kweli sasa hivi Football imebadilika, ule uchezaji wa 4-4-2 kukalili nafasi, sasa hivi umekwisha. Mchezaji sasa hivi inabidi awe na uwezo wa kukaa hata nafasi 3- Minimum. Wewe fikiria mpira wa sasa, Namba 4 na 5 eti nao wanalindwa.
  11. Life Enthusiast

    Huyu Aubrein Modiba anacheza namba gani pale Mamelody?

    Huyu ni kama Yao wa Yanga.
  12. Life Enthusiast

    Huyu Aubrein Modiba anacheza namba gani pale Mamelody?

    Jamaa hucheza kama Beki au Midfielder ila upande wa kushoto. Ukiangalia hata mechi na Wydad, Mamelodi walicheza 4-3-3, na Modiba alikuwa Left Midfielder .
  13. Life Enthusiast

    Waislam wapigania Uhuru, ni Waislam kweli?

    Nyerere pia alikuwa ni Mlevi(kama ulevi ni kunywa Pombe). Nyerere alipewa kiti cha Uongozi kwa sababu mitazami ya kitaifa na mipana waliyokuwa nayo kina Abdulwahid, Dosa Aziz na Mwapachu. Halafu sijui hii hoja ya udini inatoka wapi, ukisoma kitabu cha Maisha ya Sykes, huoni mahala Uislam kama...
Back
Top Bottom