05 May 2025
Sasa inshu kubwa kuliko hii imejitokeza kwa waendesha vindege wa WasafiBet. Kwa siku nzima ya juzi jamaa walizuia kutoa pesa, halafu jana wame-deactivate accounts za wakamaria wenye zenye mamilioni ya pesa.
Wanachodai ni system errors na sababu kama hizo.
Wataalam wanasema kwamba kama una mpango wa kuua chawa ama viroboto jifukize, ila kwa covid19 kujifukiza hakuna manufaa.
Zaidi, unaweza leta madhara katika mfumo wa hewa wa ngozi, kwakua mfumo huo ni mahsusi kwa ajili ya hewa ya kawaida iliyopo katika mazingia, na sio ule moshi emited kipindi...
Hapo ndo tulipokosea ndugu, swala sio wao walifunga lini mipaka yao ili raia wao wasitoke nchini mwao kuja kwetu... Swala ni lini sisi tulitakiwa tuifunge mipaka yetu, ili wao wasiingie kwetu, ili kuzuia kuingia watu waliopata hiki kirusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rikodi zinaonesha kuwa fist confirmed case Tanzania ilikua at 2020-03-16.
=> Kabla ya hapo, mipaka ya nchi iliendelea kua open.
=> Hata baada ya kisa cha kwanza, ni safari kutoka nchi zilizopigwa sana na kirusi ndizo zilizuiliwa.
=> Kipindi chote hicho watu wanaenda makazini/maofisini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.