Recent content by Libya

  1. Libya

    Simba kucheza kiporo chake cha Azam Federation 28 February Azam Complex

    Hawa watoto wa TRA wanacheza vizuri kuliko Simba
  2. Libya

    FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

    Watakua wanalingana point then wanaangalia head to head kati ya yanga na CRB nani kamfunga mwenzake gori nyingi! Bro umepaniki nini! Yanga kashatinga robo fainali
  3. Libya

    Askofu Gwajima akabidhi ambulance mpya Kawe

    Sio habari hakuna jipya
  4. Libya

    Wazee walioanzisha vuguvugu la kusaka Uhuru

    Kutoka kulia waliosimama: 1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3) 2. Nassoro kalumbanya (simba str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.) 4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia (Misheni kota) 6. Julius Nyerere( Pugu Sekondari) 7. Said Chaurembo (Congo/ Mkunguni str.) 8. Jumbe Tambaza...
  5. Libya

    Jiji la Dar es Salaama - Dar es Salaam Tanzania historia yake na Uislam

    Kabla ya mwaka 1868, Jiji linalofahamika kwa jina la Dar es Salaam, halikuwepo kabisa. Badala yake kulikuwa na mji ulioundwa na miji mitatu maarufu, ambayo ni Kunduchi, Mbwamaji na Tindwa. Kila mji ulijitegemea, huku idadi ya wakazi wake wote kwa jumla haikuzidi watu 2,000. Kati ya miji hiyo...
  6. Libya

    Kondomu niliyotumia inavuja, kichwa kinawaka moto

    Unadhani ni rahisi kupata ukimwi hivyo
  7. Libya

    CCM nambari wani

    .
Back
Top Bottom