Recent content by Libert

  1. L

    Sasa rasmi: Mabaki ya mtandao wa kifisadi, Lowassa, Rostam, Karamagi unahamia CHADEMA

    Fisadi namba moja kwa watanzania ni CCM na mfumo wake lowasa na wenginge hawana shida kabisa so long as hawapo ccm. There is nothing good that can come frm ccm for the time being nendeni likizo mkajipange and we will suport you
  2. L

    Msimamo: Nitasimama na Majemedari Ninaowajua, Tuliopigana Vita Pamoja Nao...

    Hana shina mzee wa watu, CCM ndo inashida haiwezekani mtu anashutumiwa kuwa ni mwizi,fisadi,mkwepa kodi etc na chama tena chama dola kwa miaka zaidi ya kumi bila ya kuchukuliwa hatua stahiki za kisheria. Kwangu na dhani wezi tena wezi wakubwa ni hao ambao wanamamlaka lakini wameshindwa kuchukua...
  3. L

    Msimamo: Nitasimama na Majemedari Ninaowajua, Tuliopigana Vita Pamoja Nao...

    Hahahahaaa utaisoma namba sasa hivi Tanzania Kwanza vyama baadae uhuru mpya wa Tz unatakiwa na ni sasa! kaka ulidhani CDM wamechagua kuwa wapinzani wa kudumuu, sooo sorry wanataka kushika dola na hilo ndiyo lengo kuu, nawametumia opportunity inavyotakikana tutajipanga tukiwa ndani ya system CCM...
  4. L

    GE2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

    Mungu Yupi sasa? Hivi huyu Mzee anashida ganiii? Walimwita mwizi wa Mali ya Umma,Fisadi na Majina mengine yote mabaya Lakini Mbona hafikishwi Mahakamani kwa Miaka takribani Kumi sasa. Huyu Mzee anapambana na chama Dola ,Wana Polisi,Usalama,TAKUKURU, TRA hivi kwanini serikali isitumie hivi vyombo...
  5. L

    Zitto ndani ya kipindi cha Dakika 45 za ITV - Machi 16, 2015

    Hana lolote Mchumia tumbo huyo nadhani PACCO bado hujaielewa vizuri cdm its more than a person kwa sasa ni taasisi ambayo haizuiliki Mtaasisi unatishaa magamba wamechanganyikiwa ww bro huna jipya let ZZK go wala hutajali VIVA CDM VIVA THE CHAIRMAN Kazi tunaiona!!!!!!!!!!
  6. L

    Kampuni ya PAP yakanusha kumilikiwa na familia ya Rais Kikwete, Yataja wamiliki Wake Halali

    Hahahaaaaaa Its just that simple!!! Follow the ESCROW Money..... No Stone will be left unturned and the truth must and Shall be reveled! Faiza keep your breath.
  7. L

    Prof. Kikwete aenda Marekani

    Umasikini ni Utumwa ndo anapeleka ripoti ya ESCROW misaada iachiwe pole sana mkuu!
  8. L

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Mh. Mbowe Igunga 6/11/2014

    Ushauri wangu kwa CDM na UKAWA kwa ujumla katika Uhamasishaji wa UMMA kupitia Mikutano ya hadhara, Pamoja na kuzungumzia Ufisadi Mkubwa unaofanywa na Serikali ya CCM hususani SAGA la ESCROW,EPA,UJANGILI, MADAWA YA KULEVYA,MIKATABA MIBOVU TPDC etc lazima pia wajikite na kwa nguvu kubwa kabisa...
  9. L

    Butiku: Midahalo kuendelea nchi nzima kalenda kutolewa wiki hii

    All the best Guys hii ni vita ya kutafuta UHURU wa kweli kwa watanzania kutoka kwa hawa wakoloni weusi CCM.Naiheshimu sana MARA katika historia ya ukombozi wa nchii hii na ninaamini historia itajirudia. Tupo nyuma yenu sootighty tunaomba utaratibu wa MICHANGO Pliiiz. WARIOBA get courage and keep...
  10. L

    Kitendo cha ITV kumpa Airtime Warioba ni Uchochezi au Ukombozi?

    Vipi kwani ulitaka wammpe Mama yako?
  11. L

    Wizi wa 200b za Esrow wampeleka rais USA kurudisha ripoti

    Hakuna Mkulima Chizi wacha basi hizo, tuheshimiane basi wewe Poor you Hahahaaaa Kazi ipo!
  12. L

    Samwel Sitta ni nani katika Nchi hii ya watu 45 Milion

    Huu ni ukosaji wa adabu tu especially kwa wale watoto watukutu, wasio na maadili na waliolelewa vibaya. Haiwezekani Six kushindana na mwenyekiti wake na atambue Raisi ni taasisi not a person kuna mambo ambayo Raisi anayafahamu kutoka katika vyanzo vyake ambayo sita na wabunge hawayajui na kwa...
  13. L

    Tamko la CHADEMA dhidi ya Msajili wa vyama kuhusu Mbowe na Slaa

    What i knw CCM are too strong to Fight CDM for the time being, CDM are realy ahead of them and they can now lead the Country, All the Best Guyz!
  14. L

    Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

    Haloo nitakua wa mwisho kumsamehe huyu dogo alifanya usaliti katika kipindi muhimu sana cha ukombozi wa nchi hii thanx God CDM is more than a person and we have to maintain this spirit and solidarity we should all remember victory should be our limit Tanzania inaweza kutoka hapa ilipo, Dogo kama...
  15. L

    Kikwete: Mazungumzo yangu na vyama vya siasa yamekwenda Vizuri!

    Huu ni Ulevi tu wa madaraka Ninacho fahamu mimi CCM ni chama cha kisiasa ambacho kina lifespan ya kuongoza nchi hii na TANZANIA ni zaidi ya CCM , CCM itakufa Tanzania itabaki Milele lakini what i see is as if watatawala nchi hii milele which is wrong! Ukifuatilia kinachoendea ktk BMK utatambua...
Back
Top Bottom