Hakuna genius anayepata zero.
Nyie mlifeli mmebahatika kupata watu waliowashika mkono mkafanikiwa kimaisha mshukuruni mungu kwa ilo.
Huyo mwenzenu hakua na ndugu wala rafiki wa kumuuzia duka hapo kariakoo. Kama unaona kufeli ni sifa kama unavojinadi hapa basi haina haja ya kuwapeleka shule...
Iundwe tume ya kimataifa inayoaminika na wananchi na yenye nia ya dhati uone jinsi ushahidi utakavomiminika lakini kwa tume hii hata mpumbavu wa mwisho hawezi peleka ushahidi wake pale.
Kitu pekee ambacho hujagundua mpaka ivi sasa ni kwamba vitisho vishapoteza nafasi kwenye mioyo ya watanzania kiufupi wapo tayari kwa lolote like. Nasikitika fuvu lako limebeba mavi badala ya ubongo
Wameshindwa majukumu yao yakulinda raia na mali zao wanalinda chama na serikali yake haja ya kuogopa wananchi wenye hasira kali mmewasaidia majukumu yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.