Hizo cmple mind ndo zmefanya hii nchi kuendelea na kufikia Hp ilipo mana bila upinzani hii nchi ingeshauzwa.....magamba wamebadili sera zao na kuyafanya yale ambayo wapinzani walikuwa wanalalamikia mda sasa.....tunahitaji demokrasia Kwani maendeleo sio lzm kuwe na udikteta uchwara.....
Ht sahv kn magroup yanaunga watu group l xxxx Naona ni ukosefu w maadili na kwa wenzetu nadhani yanaruhusiwa mana kn hadi watetezi wa haki za kijinga eti mashoga na makahaba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.