Shida kubwa watanzania wengini mbumbumbuu hatujui tulipokwama,nchi ambayo ukimsikiliza mosomi unajiuliza maswali kunatatizo ukiona watu wasiojiamini wanaonavbils ccm hakuna tz ujue kazi IPO hebu jiulize no watanzania au wabunge Wa ccm waliosikitika Kwa miswada muhimu kama ile ya goes kusainiwa...
Endeleeni kudanganywa name hi yo vikofia name vitisheti wakati watoto wako wanasoma wanakaa chini hkuna madawati tumewachoka ninyi ccm hmna jipya miaka zaidi ya 50 bado mnapiga domo ham-oni Aibu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.