Habari ndugu zangu,
Naomba ushauri juu ya jinsi ya kununua viatu vya wanawake vyenye ubora kutoka China kuja Tanzania kwa bei nzuri.
Je, kuna mtu yeyote mwenye mawasiliano ya wauzaji wa kuaminika au mawakala wa mizigo (cargo)?
Ushauri wowote utathaminiwa sana.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.