Recent content by Liana N

  1. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Asante ndugu yangu…. Ntajitaidi kuomba kwa iman yangu…Mungu akinisamehe na akiamua kunibariki ntarudi kutoa ushuhuda… Ubarikiwe sana sana
  2. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Asanteni nyote kwa mawazo yenu na ushauri… Mabadiliko kwnye nafsi yangu ninayaona sana baada yakuandika hivi…na kupati maoni tofauti… saivi nalala, moyo wangu haupapuki tena pale nikiwaoni awo watu kwny mitandao..nilifata ushauri wenu wakufuta account zangu zote nimefanya ivyo ila nimepatwa...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    mwambie aandike hivi km mm humu jamii forum… Apate comments zote mbaya na nzuri…. Mm kwangu imenifanyia tulizo kwa kiasi kizuri… nimepata uwafuane na watu wamenifuata Dm na kunishauri wngn wananipa ushuhuda…… itamsaidia nafikili….na pia kama ameamua kufanya hivi aiandae akili yake kua sio...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Asante na asante sana pia kwa ku share… n
  5. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Ratiba yake kwa sasa yupo tz.. ila uwa anaenda kwao ifikapo likizo…. Asante kwa maneno yako mazuri,na ukarimu ubarikiwe sana.. Hhhm apo kwny haiba ya kuolewa sdhn km ni kweli sjion km kuitaji kuolewa..lbd in future ila sjion kbs km kitu ambacho nina uwitaji nacho…kitu nilichogundua kuhusu mm...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Sikuizi kuna vitu vimepungua..mikono haitetemeki,nguvu nakua nazo kawaida,miguu huisha nguvu bado ila nipale nikiamua kucheza kamchezo kama kuwasha na kuzima taa..yaan nikimfkilia tuu na nikiwa nimelala miguu yangu inakua inaanza kukufa ganzi, nikifkilia kngn dk izo izo miguu yangu inakua...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Umtake radhi sister angu kumuita mjinga….. Umesema kweli vingn… Ni kweli sijioni kama mtu ninae faa …yaan saivi wewe ukitaka kunitukana nitukane, ukitaka kunifanya nijihisi kama zezeta kwangu ni sawa tu, siamini katika mtu kunitendea jema au heshima kwa sasa sioni kama nina hadhi iyo….yaan ni...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Sikudanganyi ndugu yangu..mm sjioni kabsa nikiwa mama ntilie na iyo kazi siiwezi heheh au saloon..usidhani si tambui ilo natambua ibd ata niende nifagie bara bara nipate miambili…naitaji kujianda kiakili sasa kua saivi naweza kuanza life ambalo nilikua silifikilii kabsa…kwanza kitendo cha mm...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Asante sana kwa kunisaidia ukweli uwa silalai sana…. Zazngn nakesha usiku mzima.. nawaza tuu nakuja kupata ka uchingz kadogo mnoo saa11 umo na ynyw sio kwamba nimelala yenyw….nikama nimejipumzsha tuu ila nakua sijalala….sio tu kulala ata kula kwangu ni kama najilzmsha nawza kuvuka ata siku 3...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Asante dear
  11. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Asante nipo napambana hhmmmm!!
  12. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Asante nipo napambana.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Mi sioni kama kuna uhafueni kwakweli….tatz la akili ni kubwa sana…unakua una function ila linakuangamiza kama ukimwi au zaidi ukimwi..huwz kunielewa kwa sababu hujawai kupata iyo severe depression ni deadly sana… na kpnd icho ndo moyo wangu umeanza kuuma nilkue nimepata chance za kazi, ajira...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Kweli!dk moja kila mtu yupo.,ukifumba nakufumbua hawapo tena,nafasi zipo ila zinapita…… kila kitu kinapita….
  15. L

    JamiiForums Tanzania Umasikini na aibu

    Kazi nimefanya zakujitolea na zakuwa busy sana…..ata mda wakupumzka nakosa…ila ata ndani siku nimebadlka nimekua kama zezeta imeniathiri mpk ki saikologia.. kuna kpnd nilkua naaibu ya kuangalia watu usoni..ni kitu tuu kinanitokea automatically najhs kama mtu hafai kuniangalia……na nikienda kulala...
Back
Top Bottom