Kwenye swala la MACHINGA serikali inahitaji umakini mkubwa kuwatoa Hawa watu kwakuwa wamekuwa wakubwa Kama mbuyu.
Kama mnakumbuka miaka ya 2000-2015 walikuwa wanafurushwa Sana na migambo. Kuanzia mwaka 2016 mpaka sasa wamejitawala kila mahali.
Ukifika hapa Arusha Ni kero kubwa Sana. Nafikiri...
Jana nilimskiliza tena askofu Gwajima! Matamshi yake yanaungwa mkono na watu wengi sana kuliko hata watu waliopewa ubalozi wa Corona. Nashauri yafuatayo:
1. Serikali iongeze elimu juu ya chanjo
2. SerikaLi imuombe Gwajima abaki na msimamo wake lakini asiongelee chanjo
3. Itangaze chanjo kuwa...
Baada ya mheshimiwa Rais Samia kutoa mwelekeo wa taifa kuhusu mapambano ya Corona zimeibuka hoja nyingi sana hasa kuhusu hizi chanjo.
Jana nilipata nafasi ya kumtembelea rafiki yangu hapa Morogoro. Nilichokisikia sikuamini. Watumishi wengi wa kada moja iliyopewa kipaumbele cha kupata hawataki...
Hata huyu kijana ni mwoga tuu kama ninyi mnao onesha uoga . ndio maana baada ya Kuala nyaraka hizi niliamua kupost. Swala LA kifo anajua mungu mwenyew. Ukiua MTU hata were hutoishi milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.