Recent content by LGF

  1. L

    Kanuni ya 50 ambayo imetungwa Maalum ili kuwalinda wanaoharibu Uchaguzi Nchini Tanzania kwa manufaa ya ccm ni ipi?

    CHADEMA bado hawajaelewa tumehuru ni kitu gani na inafanyaje kazi. Unapofanya kazi ya umma, hasa inapobidi kuamua hiki su kile kati ya washindani, huwezi kujidikua HURU kama kuna toshio la kushitakiwa. Ukikuta kuna Jopo la CHADEMA la Mawakili 80 wako tayari kumtetea Tundu Lissu bure kana...
  2. L

    Urusi iko mbioni kuanzisha Wizara ya ngono

    Uuuh! Yaani hawsna? Sisi toyari tuna Wozara ya Kazi, Jinsia, Watoto, na Makundi Maalum mathalani Walokole au CHADEMA. Hii ninihii yako Mjumbe unasemanini khasa?
  3. L

    PreGE2025 Mbunge Ole Sendeka katika bifu kali na RC Sendega agoma kumpigia magoti, magoti yake atayapiga kwa Rais Samia

    Kuna jambo hatulijui. Yeye ndiye alitaja aabudiwe kwamba amewazuia Wamaasai wa Kenya kuingia Tanzania na kumtukana Rais. It's the other way round.
  4. L

    Mwanza: Wanafunzi na baadhi ya wananchi wasombwa kwa mabasi kupelekwa kwenye shughuli za mwenge na ziara ya Rais

    Yes, it is possible. CHADEMA hired a crowd from Moshi and Dar akiwamo mbowe ba neyaxwa ubungo to go to Tanga maziko ya Marehemu Bakari. Tanga ni Nchi ya Waislamu, maadili, walishangaa sana kuona makamanda wakimzomea Waziri akitoa duwa. Akaha Imam akasimana kuwapa nawaidha, wakazomea na kuimba...
  5. L

    Mwanza: Wanafunzi na baadhi ya wananchi wasombwa kwa mabasi kupelekwa kwenye shughuli za mwenge na ziara ya Rais

    What is the problem? Sisi tulisombwa mwaka 1968 hadi Mwadui kumpokea Makamu wa Kwanza wa Rais Abedi Amani Karume: kuna ubaya gani, si ni Rais wetu? Mwaka 1991 alikuja Baba Mtakatifu Yohani Paulo II akatoa Misa pale Kawekamo. Waamini wengi tulisombwa kutoka Parokia zote Jimbo Kuu la Mwanza. Kuna...
  6. L

    Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika

    Inakubalika. Waulize UAMSHO kule Kibiti Lindi
  7. L

    Wakati wa Utawala wa Ali Hassan Mwinyi, ameshawahi kutekwa au kuuwawa mtu?

    Sikumbuki, ila kulikuwa na namna yake. Usimsahau kijana James Mbatiya, wakati huo Year 2 BSc Engineering BAVICHA, alimtukana Mwinyi matusi ya nguoni kamuunganisha na familia yake (Mzee wetu Mwinyi alikuwa na Wake wawili), walimchora vibaya ukutani chooni na Nkrumah Hall. Wala hawakujificha...
  8. L

    8 September, 2024 ni siku ya Maombi ya Kitaifa kuwaombea waliotekwa

    Umesahau kitu kimoja - watu wote najisi walkiwemo wakoma na wachafu walitolewa nje ya malango wakauawa kwanza - imeandikwa kwenye Kumbukumbu la Torati. Hata kwetu Afrika, hususan kwetu Uyowa, habari ya kufunga na kuomba ilikuwa inatokea pia, mara nyingi wakati wa kuomba mvua au kuepuka majanga...
  9. L

    Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274

    Kura yangu ilikuwa kwa Kuuli, kura yangu imehesabiwa, hawezi kusema kwamba Uchaguzi haukuwa free and fair. Vivyo hivyo 2020 nilimpigia Magufuli, hawezi kusema aliiba kura, kura yangu ni hiyo.
  10. L

    Kenya Yaishinikiza Tanzania Kupitia EAC Kufungua Ushoroba Mpya wa Barabara ya Mombasa-Holili-Singida Kwa faida ya Bandari ya Mombasa

    Sioni ubaya wowote. Kama wewe ni Burundi na njia fupi ni kupitia Kahama ba Holili, why not? Lakini sidhani kama it will be cheap hata kama ni shorter kwa sababu haikujengwa kwa transit traffic. Isitoshe, itabidi alipe transit fee mara 2 Kahama ba Holili. Kama cargo inaenda na kuishia Kenya...
  11. L

    Je, Bunge Linaidharau Mahakama na Kuwadharau Watanzania? Kitendo cha Bunge Kutunga Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kinamaanisha Nini?

    Uliza vizuri swali lako: ni Mahakama kudharay Bunge, usisahau kuwa Bunge linachaguliwa Mahakama haichaguliwi. Ndiyo maana kukawa na House of Lords na House of Commons - Common people walipochoshwa kunyanyaswa na mabwanyenye. Unless jambo ni la wazi wazi, Bunge liko juu zaidi.
  12. L

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    This must be bad news to our fiends in CHADEMA, makamansapipozz. I mean, sasa CCM wanatekeleza Ilani yao shindig, wanemuweka CPA kuwa Mwenezi na Miss World kwa kina Mama. Sasa imebaki ile serkali ya Majimbo yaani ukabila kama zile County za Kenya, sijui wataiuzaje?
  13. L

    Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe

    Wacha utoto, humjui Antoinette. Samia ni Rais wetu, tumemchagua. Nji yetu ni kubwa, Kyaka hadi mMikinani kilometa 3000, Holili hadi Tunduma kilometa 3000. Ni sawa ba Nji 6 za Ukaya UK hadi Poland. Anahitaji gari 4 office yake tu, zingine 4 kwa Heads of Depts, gari 5 za Ulinzi. Kaenda Sumbawanga...
  14. L

    Rais kuambatana na CDF, CJ , IGP , DG-TISS na wakuu kila tukio kunadumaza kazi zao

    Hili ni tatizo lake binafsi, limejengeka kwenye Diana potofu kuwa kugombanagombana au kununiana ndiyo matakwa ya checks and balances. Hata Bungeni wapinzani mnaj8sikia vibaya Rais kutokuwa na ugomvi na Wabunge, kwa nini wagombane kamaxeotw ni matunda ya Ilani hiyohiyo moja. Aidha, nasahau pia...
Back
Top Bottom