Recent content by Lesa360

  1. L

    Nina Gari lenye Friji, natafuta kazi

    Kaka naomba maelezo zaidi.... Naweza kuja Pm walao nipate namba tuongee vizuri
  2. L

    Nina Gari lenye Friji, natafuta kazi

    Unajua Usipende kukaza ubongo kwenye Kila kitu..... Ndio maana mnatapeliwa sababu Kila kitu unawaza utapeli... Wewe kwenye ishu yangu hii unatapeliwa wapi? Gari yangu mm naomba tu kupata mawazo na connection ambazo huusiki au hata kama utanipa nikifika huko Hamna kupeana pesa Wala nn sana sana...
  3. L

    Nina Gari lenye Friji, natafuta kazi

    Ok nishapapata mkuu Asante sana
  4. L

    Nina Gari lenye Friji, natafuta kazi

    Sehem gan? Ubungo ipi? Kiwanda kipo sehem Gani?
  5. L

    Nina Gari lenye Friji, natafuta kazi

    Bonge la wazo ila unaanzisha kampuni kwa gari Moja? Procedure zake unazijua? Na ukiwa na kampuni charges za Kodi ni kubwa kuliko kufanya kazi personal
  6. L

    Nina Gari lenye Friji, natafuta kazi

    Unaacha kuwaza core point ya Thread unakimbilia kwenyeabishano yasiyo na tija.... Kuweka picha ya Japan haimaanishi gar Iko Japan... Huna connection kausha sio lazma Kila kitu uchangiee
  7. L

    Natafuta gari la kukodi

    Kaka ulipata gari? Nnayo hapa tunaweza kukubaliana
  8. L

    Nina Gari lenye Friji, natafuta kazi

    Kuna gari nnayo hapa sasa natafuta tenda za nyama au kubeba mboga mboga au vitu ambavyo vinahitaji friji na tenda iwe ya Kila siku au mwezi au hata alie na Connection ya kazi hizo tunaweza kuwa wote kwenye gari hyo
  9. L

    Mimi ni Dereva, natafuta gari la kufanyia kazi

    Mwenye gari ndogo ambaye anampango wa kuifanya ya biashara yaani taxi, Uber au Bolt naomba hiyo kazi kwani nina uzoefu nayo! Pia hata Kama yupo mtu anaehitaji kuendeshwa au kuwa dereva wa familia nipo tayari na napatikana muda wote! Namba yangu ni 0682527009
  10. L

    Uhitaji wa soko la mahindi na maharage Morogoro

    Mkuu ulipata pakuuzia? Namimi nahitaji kujua soko zuri la mahindi
  11. L

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Wanaojua masoko mazuri ya ufuta kwa Dar es salaam naomba kujuzwa na Bei zake pia
  12. L

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Bei ya ufuta ikoje kwa Sasa mjini Dar? Nna ton 3 hapa na lazma niziuze
  13. L

    Muwekezaji kwenye IT issues anahitajika

    Ndio kidgo nlichojaaliwa mkuu na ndo upeo wangu umishia hapa!! Its very funny to you japo muda mwingne kujua sana nako ni ujinga thus y unajiona unafaham zaidi had unavuka misingi ya mtu anaejitambua na kuheshimu mawazo ya wenzake.... shame upon you Genius with nodes on his head
Back
Top Bottom