kijikampuni cha ufundi chuma.... hata miezi 12 hakina ushaanza kelele.Unatujua sisi?ungekaa kimya maana utahitaji kututafuta hapa hapa Uk kuomba kazi.Ndio tatizo la watu wa mikoa ileeeeeeeeeeeee ya kishamba shamba wakipata...............hata UK yeneyewe uko kwa shemeji yako....na kijikampuni...
Mkuu,asante kwa maelezo mazuri.Kamisheni (average) ambayo hutolewa na insurer huwa ni wastani wa tsh ngapi/percent ngapi?
..mfano UAP,sjui jubilee,BUMACCO.Asante
Unachosema ni dhahiri mkuu.Kuna baadhi ya watu katika idara nyeti za umma wanapenda kushare baadhi ya vitu vya maofisini as a way to release their grievancies lakini ni busara ya kawaida kuhakikisha haujadili kitu ambacho ni siri ya ofisi/wewe binafsi.Kukaa kimya kwa masuala nyeti ya nchi hasa...
Jamani,benki ya wanawake iko chini ya wizara hii.Kumbukeni kwamba wizara inaitwa wizara ya afya na jinsia(wanawake na wanaume).Hata uteuzi wa wajumbe wa bodi ya benki hii ulitoka wizara ya afya na jinsia.Period
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.