Tanzania na nchi za afrika kwa ujumla wake tumekuwa na uduni katika kukuza SEKTA ya UJENZI kwa MAENDELEO ENDELEVU pamoja na usalama wa nnchi zetu
1. SEKTA YA UJENZI ni nyenzo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote Tanzania ikiwemo. Kati ya sekta inayotumia pesa nyingi katika mataifa...
Ila bro kwa hapa jamaa yako ni mkandarasi na anafanya kazi serikalini umetupiga kamba mkandarasi kwa kingereza ni contractor sasa inakuwaje aajiriwe tena,[emoji848][emoji848]
Ila bro kwa hapa jamaa yako ni mkandarasi na anafanya kazi serikalini umetupiga kamba mkandarasi kwa kingereza ni contractor sasa inakuwaje aajiriwe tena,[emoji848][emoji848]
Mwanaume sifa ni kutunza familia sio kusimamisha tu pambana kiume Lea family yako kabla hujarudi hapa kujuta, yaani kipato na madeni ndo yakufanye utelekeze family na uko na 30+ ?????
Ushafikiria unapambana na familia kuitunza afu mtu mmegombana anakuambia wewe mwanaume gani kwanza watoto sio wako na maneno kibao mimi naungana na wote wanaosema mwanamke atoe sababu
Ukiweza achana nayo kabisa haina maana yoyote tafuta pesa nenda IVF toa mbegu totoa watoto itakupunguzia stress zisizo na ulazima wowote hawa wako kusubiri mgawane mali hawana faraja yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.