Unajuaada mzur sana lkn nikweli.km cuf walishinda kihalai je ukirudiwa wanaweza kushinda tena hlo ndo swali lako..? Watashinda ndio lkn watatokea vchogo kutoka tanganyika chungumzma kuja zanzibar kupga kura sasa hapo kweli cuf inaweza kushinda tena..? Hayo ni mawazo yangu tuu maana nlkua naputa tuu
Walioshinda wajitangaze kwa sababu bla ya hvo ccm hawataki kutoa nchi kwan mara ngap hii cuf wanaongoza kwa kura ma hawatangaziwi big up maalim aeif kwa kueka hayana na usawia,wa kla ktu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.