Nabii wa kweli ni yule anayetabiri jambo kwa uhakika na kwa kulitaja (unaweza kukataa utabiri lakini matokeo yake huwezi kuyakataa).
Aliyemtabiri Magufuli ni Nabii Paul Bendera wa Kanisa la Ufunuo, nashangaa hawa waliotabiri Lowassa kuja Bongo. Pia Gwajima alimtabili Lowassa na wengine wengi. Wengine wakiomba maana hawana uhakika maana Mungu hawaonyeshi.
Nabii Bendera peke yake ndiye alietamka kanisani Bonyokwa Kimara (maarufu kanisa la Bendera) na mbele ya wandishi kuwa kaonyeshwa Magufuli akishinda tena akatamka kwa jina.
Pamoja na kuwa nilikuwa mwanamabadiliko, kwa hili alilitaja na hata aliposema lilinivuja moyo ila matokeo yake kweli Magufuli kapita.
Sasa hawa wapenda ujiko sijui wanakuja kufanya nini na utabiri wao wa uwongo!
Aliyemtabiri Magufuli ni Nabii Paul Bendera wa Kanisa la Ufunuo, nashangaa hawa waliotabiri Lowassa kuja Bongo. Pia Gwajima alimtabili Lowassa na wengine wengi. Wengine wakiomba maana hawana uhakika maana Mungu hawaonyeshi.
Nabii Bendera peke yake ndiye alietamka kanisani Bonyokwa Kimara (maarufu kanisa la Bendera) na mbele ya wandishi kuwa kaonyeshwa Magufuli akishinda tena akatamka kwa jina.
Pamoja na kuwa nilikuwa mwanamabadiliko, kwa hili alilitaja na hata aliposema lilinivuja moyo ila matokeo yake kweli Magufuli kapita.
Sasa hawa wapenda ujiko sijui wanakuja kufanya nini na utabiri wao wa uwongo!