Recent content by Leons Mwanda

  1. L

    JamiiForums Tanzania Bei ya engine 1zz na gear box yake

    Hiyo ni kwa ajili ya Rav 4 mkuu
  2. L

    JamiiForums Tanzania Bei ya engine 1zz na gear box yake

    Napenda kujua gharama za engine 1zz na gear box yake,napatikana mkoani Songwe
  3. L

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa CHADEMA katika ujenzi wa demokrasia nchini

    Bila unafiki, ni muhimu kuwatia moyo na kutambua thamani ya CHADEMA katika ujenzi wa demokrasia yetu nchini.Kazi mnayofanya ya kutoa elimu ya uraia kwa wananchi juu ya siasa nchini kwetu,ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu. Tengenezeni watu wengi wenye misuli ya kisiasa ili hata ikitokea...
  4. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuweni wamoja katika hoja zenu

    Kama chama tegemeo kwa wengi walio nje ya CCM, tunategemea CHADEMA mtaendelea kuwa wamoja katika vikao vyenu vya uchaguzi wa ndani. Hatupendi kusikia malumbano na maneno yasiyo na tija kwa ustawi wa demokrasia yetu. Kumbukeni uimara wenu katika siasa za nchi hii,ni muhimu sana kwa ajili ya...
  5. L

    JamiiForums Tanzania CCM haikujenga uwanja wa Sokoine Mbeya, iliwapora wananchi. Uwanja urudishwe kwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

    Uwanja wa Sokoine ulijengwa enzi za Chama kimoja, na michango ilipita kwa wana Mbeya wa wilaya zote. Na ukumbuke kuwa wakati huo, Mbeya ilikuwa haijagawanywa kama ilivyo sasa. CCM ndiyo ilisimamia serikali katika utekelezaji wa ule mradi, na chama kilishika hatamu kwelikweli. Kwahiyo, hata...
Back
Top Bottom