Recent content by leo_hii

  1. leo_hii

    Dreamliner imesababisha ushindani mkali baina ya mashirika ndani ya Tanzania

    Huu ushindani utasaidis bei zishuke na wanufaikaji watakuwa ni ss
  2. leo_hii

    Mliowahi kufika America hawa Blacks American wanatuchukuliaje Waafrica?

    Labda wana chuki na ss waafrika kwasababu tuliwauza ndugu zetu
  3. leo_hii

    Serikali yatoa maagizo mazito, yazuia mitambo ya kuchimbia madini

    Saivi mawaziri hawakai kwenye viti kusoma magazeti ni Kazi juu ya Kazi
  4. leo_hii

    Ephata Nanyaro diwani wa Levolosi jiji la Arusha: madiwani kuondoka ni ubinafsi na hofu ya 2020

    Huna hata bustani ya mchicha unajidai kilimo kipo hoi Ongea kwa takwimu
  5. leo_hii

    Chadema mtajuta kuwafahamu akina Sumaye

    Wanang'ata na kupuliza
  6. leo_hii

    Ephata Nanyaro diwani wa Levolosi jiji la Arusha: madiwani kuondoka ni ubinafsi na hofu ya 2020

    Wanasiasa ni wasaka tumbo hawapo kwa maslahi ya watu bali kujiangalia matumbo yao Cha muhimu wananchi ni kuchapa kazi kila mmoja kwa nafasi yake
  7. leo_hii

    Rais Magufuli chagua lugha moja tu unapohutubia, unatuchanganya!

    Haya sasa Walimu wa lugha wa kujitegemea tunawaona umahiri wenu
  8. leo_hii

    Zitto Kabwe: Rais Magufuli ni rais muoga kuwahi kutokea nchini

    Huyu kibaraka wa CCM B anaongea kufurahisha kijiwe Tanzania ni nchi yenye Rais Imara na shupavu ukijiona unabisha basi una dalili za uchawi
  9. leo_hii

    Dhana ya 'CCM-Mpya' ni sawa na kaburi linalopakwa rangi nyeupe juu

    Wewe ni Muathirika wa mfumo
  10. leo_hii

    Wana CCM tumshauri Kigwangala afanye kazi ya uwaziri. Anachokifanya sasa ni utalii mtupu

    Kupiga picha ndo kigezo cha kusema hafanyi kazi za uwaziri? Kazi za uwaziri ni zipi?
Back
Top Bottom