Naamini magufuli atayaweka mambo mazuri kwa watumishi,naikumbuka kauli yake siku ya mei mosi kuwa atawaongezea watumishi mishahara kwekikweli,hili bado halijachelewa, watumishi wawe na subira,watumishi ni serikali,hivyo ni lazima muamini kuwa mmehaidiwa, kuhusu swala la kikokotoo,naamini...
Haina Shida Ukiweka Mimba Staff Mwenzio,maana Mtoto Atakuwa Na Uhakika Wa Kula Kuvaa Na Elimu Maana Mama Yake Anakazi, Ebu Mtafute Mwingine Mwenye Pesa Mweke Mimba, Mie Nina Watoto 17 Kila Mmoja Na Mama Yake, Mama Zao Wote Wanakazi,majukumu Wananizaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.