Sio Husein tu. Kwa maoni tangu Prof. Mhongo anasatahili kuwa wa kwanza kuhojiwa. Jeuri yote ya kukiukwa sheria katika suala ta tanzanite (kwa sasa) ilitoka kwake. Tulimsihi sana kuwa angaalie suala LA utoaji wa Leseni na umiliki wa kitalu C, lifanyike wazi kwa kuzingatia sheria. Akasema hakuwa...
Wengi wetu mnatoa maoni kwa kujificha utambulisho wenu kwa kukosa uhakika. Sasa tuulizeni sisi ambao tunatokea huko eneo lenye tanzanite. Nasema serikali IPO sahihi, sana. Nchi imeibiwa mno. Kwa Mara nyingine ninawapa big up kwa hatua wanazochukua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ninaamini kuwa rais wetu anapewa taarifa sahihi na vyombo vyake. Sasa amesema kuwa masheik walioko mahabusu wanahusika (gazeti Mwananchi 3 July 2017. Sasa nauliza kwanini hiyo magereza isishughulikiwe kama haina uthibiti wa kutosha?
Watanzania wote kwa umoja wetu tumesikitishwa na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia huko Kibiti. Jambo la kushangaza ni vipi magereza inahusu mahabu kupanga na kutekeleza uovu huo na yenyewe ikabaki salama. Ninaimba serikali uchukue hatua za haraka kama haya ni ya kweli.
Mimi binafsi sintaona ajabu serikali ikifunguliwa Kesi nyingi kutoka kwa jamaa wa wahanga wa huduma zilizotolewa MNH huku serikali ikifahamu fika kuwa wataalam hao hawana sifa.
Maelezo ya upande mmoja daima hayawezi kuondoa mashaka. Mfano tu, pikipiki zilikuwa tatu ila moja tu ndiyo imekamatwa, je, wengine walipotelea wapi, je? ni kweli walikuwa na baibui, je? nani aliwaona watuhumiwa wakikimbia tofauti na polisi, je? mtoa taarifa aliongea na mashuhuda na walisema...
Tija ya vyeti vya Bashite, ni kutuaminisha na kutuhakikishia watanzania kuwa nchi yetu haiongozwi Kwa double standards. Hilo ni muhimu Kama serikali yetu inakusudia kutenda haki sawa kwa wote ila Kama ni serikali ya wachache basi vyeti hivyo si muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.