ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,850
Duh! Hiyo kali mkuu. Hilo ndilo tatizo ninaloliona nchini kwetu, hata dobi awe na cheti cha form 4? Kuna haja gani ya kuwapumzisha watoto waliofeli std 8 kama mpaka msuguwaji bedsheets awe na cheti cha form 4? Kama ni kusoma detergents na chemicals anazotumia, hata supervisor wake anaweza kumsomea na kumpa maelekezo!Angalia vuzuri mkuu, hapo wapo na madobi (DHOBI I &II)