abaki huko huko wanakopokea wafisadi!!lakini kama atarudi na kutulia bila kutafuta uongozi wowote hapo sawa!!!apewe masharti kabisa kuwa hamna kuomba uongozi wowote!!!tafadhali sana!!! alikiharibu chama chetu sasa bulldozer anakitengeneza
Diwani wa Chadema aachia ngazi
Muungwana Blog 2 Monday, November 06, 2017
Dar es Salaam. Diwani wa Chadema Kata ya Kihesa, Manispaa ya Iringa, Edgar Mgimwa amekihama chama hicho na kujiunga na CCM.
Mgimwa amejiondoa katika chama hicho wakati kukiwa na ushindani mkali kati ya Chadema na...
demokrasia kwa Tanzania na africa kwa ujumla ni:
kukubari matusi
kukubari uongo
kuiba usikamatwe
kufoji cheti au umri usikamatwe
kukwepa kodi na usikamatwe
kuandika uongo magazeti usiulizwe
kutetea watoto wa kike wajazwe mimba na waendelee na masomo
kuuza au kuvuta unga na usikamatwe
kutoa...
kama kuna mtu anaesema kuwa CCM imengiliwa na watu wenye roho mbaya ni aidha atuambia ni kina nani hao!! kwa lugha nyepesi ni kuwa watu hao wana influence kiasi cha kukibadilisha isivyo chama .je ni wale madiwani wa arusha ,iringa nk waliyohamia CCM?Au ni watu waliyopata madaraka kwanzia 2015...
huyo ahame CCM bana asituchoshe bure!!aende chadema ndo kuliko na watu wenye roho nzuri!!!mjinga kabisa!!atuambie hayo wenye roho mbaya waliyoingilia ccm ni kina nani?
Kama isingekuwe JPM kuwa na angalau na matendo mema unafikiri CCM leo ingekuwa madarakani?CCM ilishakuwa kichaka cha majizi...
Ukiwasikiliza watu wanaopiga makelele utaishia kushikwa na hasira.watu wengi kama walizoea kutenda mabaya au kuishi kwa uongo ,leo ukija ukaanza kutenda mema lazima wakuchukie .Hata Yesu ,ISSA BIN MARIAM,alipoanza kuhubiri njili ya ukombozi pamoja nakuponya magonjwa mazito na wengine kufufuliwa...
mimi nimesomeshwa degree ya kwanza na ya pili na Belgium.kipindi nasomeshwa tukiwa na watu wengine,mmojawapo ya masharti ilikuwa kuwa ukifeli mtihani hutapata tena kusomeshwa labda kuwe na medical report ambayo inaonyesha kuwa ulikuwa unaumwa.
serikali inaposomesha mtoto wa kitanzania ni kwamba...
katika jamii nyingi za kiafrika mtoto wa kike harithi kutoka kwa wazazi wake kama atakuwa ameolewa .kwa hiyo urithi pekee anaopewa na mzazi ni elimu .ukimwelimisha mtoto wa kike umempatia urithi ambao hawezi kunyanganywa na mtu yeyote.hivyo watoto wa kike wa elimishwe umhimu na thamani ya elimu...
Au ni ile ndege wanaofana huruka pamoja?? wewe umeambiwa MTU anabugia bangi then unafanya naye urafiki unategemea nini!? Ni kurecordiwa na kurushwa hewani!!
I hope gazeti hili lina detailed information !! Maana MTU kapotea more than six months then unakuja na blabla ??? Inafaa mwandishi huyo akamatwe au afungiwe milele kuandika habari asizokuw na uhakika!!
Wema atawamaliza nyie wanasiasa uchwara!! Kwenye audio ile walimtaja Nape yuko bench Sasa!! Sasa hivi ni zamu ya Mbowe!!Mbowe jiuzulu Mzee!! Hii kasfa nzito kama kweli hii ni sauti yako!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.