Mimi ni mwanamke wa kuanzia miaka 34-37, mkristo, nina mtoto mmoja, nimeajiriwa, natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo, awe mkristo, elimu kuanzia form four kuendelea. Awe mwaminifu na mwenye upendo. Awe ameajiriwa au mfanyabiashara. Miaka kuanzia 35-45. Awe tayari kupima virus.
Pleasez...